Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
Yupo na Magdalena Sakaya wanakula maishaLipumba mwenyewe yupo?
Magdalena siyo mbunge kweli?Yupo na Magdalena Sakaya wanakula maisha
Wapi TLP UDP UMDKila siku naziona ATC Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
Kwenye misiba ya mwaka huu yote hakuonekanaLipumba mwenyewe yupo?
Kila siku naziona ATC Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
Typing error mkuuAh ah umenichekesha, ati ATC wazalendo.
Swali hili ukimuuliza lipumba atakujibu wewe inakuhusu na kukuuma nn??
Hana hela maana chama hakina ruzukuKwenye misiba ya mwaka huu yote hakuonekana
Kwani si mlisema CUF ni CCM (B) au???Kila siku naziona ACT Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
Alizopewa kurudi kuwa m/kiti CUF kipindi kile zimeisha?!Hana hela maana chama hakina ruzuku
Nani alisema hivyo?!Kwani si mlisema CUF ni CCM (B) au???
wamekula na msajiliAlizopewa kurudi kuwa m/kiti CUF kipindi kile zimeisha?!
Walisema wanasiasaNani alisema hivyo?!
Sasa mbona uliandika "mlisema"?!Walisema wanasiasa
CUF ya msajili hiyoKila siku naziona ACT Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?