CUF ya Prof. Lipumba ipo kweli?

Ah ah umenichekesha, ati ATC wazalendo.
Swali hili ukimuuliza lipumba atakujibu wewe inakuhusu na kukuuma nn??
Kila siku naziona ATC Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.

Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
 
Kila siku naziona ACT Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.

Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
Kwani si mlisema CUF ni CCM (B) au???
 
UPINZANI HAUPO,
WAKATI WA UCHAGUZI HUWA WANAWEKEANA MAPINGAMIZI WAO KWA WAO,HATA VYAMA VICHANGA KABISA HUWEKA MAPINGAMIZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…