CUF wanasema watatumia usafiri wa gari au pikipiki na baiskeli kuwafikia wananchi na kuwapa sera zao.Wao hawatatumia Helikopta... hiyo si sera yao
Kampeni ni mtu na mtu...na cuf ni chama cha wananchi machano anamwaga nasaha kwa wananchi wa CUF wahakikishe Prof anaingia IKULU
Amemaliza hapa