For all intents and purposes, CUF hawakuwa na haja kwenda ikulu kueleza msimamo wao huu; a press conference would have sufficed - wakati mwingine nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya vyama vya siasa vinapewa ruzuku ambayo kimsingi ni fedha ya walipa kodi ambao, unfortunately, hawana mtetezi...
Lengo lao ilikuwa ni ujasusi dhidi ya Chadema.Wewe unadhani kile kigenge chao kilichoenda ikulu kinaweza kuongea nini cha maana?