dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,495
- 3,458
Msemaji wa cuf anasema hao walio jitoa ndo walikuwa kikwazo ndani ya chama. na hao wote waliojitoa walikuwa kwenye Uchaguzi mdogo wa Igunga. Hadi Hamad Rashid alikuwa Igunga. na kila mtu tulimpa vitendea kazi vikiewepo pesa, pendera, vipeperushi na kila mmoja alikuwa amepewa majukumu na kumkabidhi sehemu ya kuratibu. kwani tuliwatawanya kutokana na maeneo. Lakini mwisho wa siku tulivuna aibu. Hakika sasa watanzania watakuwa wamejua kwanini tulishindwa Igunga. source tarifa ya habari wapo radio.