CUF Wanaihitaji CHADEMA kuliko CHADEMA inavyoihitaji CUF!!

CUF Wanaihitaji CHADEMA kuliko CHADEMA inavyoihitaji CUF!!

WE ARE ANONYMOUS

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2015
Posts
217
Reaction score
284
1. CHADEMA wana nguvu kubwa sana Tanzania (Bara), wana uhakika wa kuwa na wabunge wa kutosha, na chama chao kimepenya interior zaidi tena kuliko hata CCM (Shahidi Kikwete alipoongelea suala la kujiandikisha)

2. Iwapo hakutakuwa na UKAWA, yaani kila chama kikasimama kivyake, CUF huku Tanzania Bara hawataambulia kiti hata kimoja, pona ya CUF ni kuachiwa baadhi ya majimbo na CHADEMA na kufanya kampeni ili wanaoinga mkono CHADEMA waiunge mkono CUF.

3. Kwa utaratibu wa mgawanyo wa Kimuungano wa Tanzania, Raisi akitoka Bara, makamu wake atoke Zanzibar, hivyo, iwapo raisi akitoka CHADEMA, na makamu wa raisi akitoka CUF (Zanzibar of course) itakuwa imekuwa balanced zaidi kuliko Raisi akitoka CUF na makamu wake atoke CHADEMA lakini kutoka Zanzibar. Hapa namaanisha wanasiasa machachari wengi wa Zanzibar ni CUF, ukilinganisha na CHADEMA, likewise CUF huku bara hakuna wanasiasa machachari.

4. OLE wenu CUF, mtake kumsimamisha Lipumba simply kwa sababu John Magufuli ni mkristo kwamba muamini mtapata kura za waislam, forget about that!!! Na mtaambulia aibu ya karne!!

Hii naizungumzia kwa sababu kuna wana CUF nimewasikia wakiweka hii hoja, na ndio maana pia CUF wanatumia nguvu zote na fitna kuhakikisha nafasi zote za uraisi bara na visiwani wanataka wao, huku upande wa pili waking'ang'ania kwamba mgombea wao ana sifa zaidi!

Ni hayo tu usiku wa leo!!
 
1. CHADEMA wana nguvu kubwa sana Tanzania (Bara), wana uhakika wa kuwa na wabunge wa kutosha, na chama chao kimepenya interior zaidi tena kuliko hata CCM (Shahidi Kikwete alipoongelea suala la kujiandikisha)

2. Iwapo hakutakuwa na UKAWA, yaani kila chama kikasimama kivyake, CUF huku Tanzania Bara hawataambulia kiti hata kimoja, pona ya CUF ni kuachiwa baadhi ya majimbo na CHADEMA na kufanya kampeni ili wanaoinga mkono CHADEMA waiunge mkono CUF.

3. Kwa utaratibu wa mgawanyo wa Kimuungano wa Tanzania, Raisi akitoka Bara, makamu wake atoke Zanzibar, hivyo, iwapo raisi akitoka CHADEMA, na makamu wa raisi akitoka CUF (Zanzibar of course) itakuwa imekuwa balanced zaidi kuliko Raisi akitoka CUF na makamu wake atoke CHADEMA lakini kutoka Zanzibar. Hapa namaanisha wanasiasa machachari wengi wa Zanzibar ni CUF, ukilinganisha na CHADEMA, likewise CUF huku bara hakuna wanasiasa machachari.

4. OLE wenu CUF, mtake kumsimamisha Lipumba simply kwa sababu John Magufuli ni mkristo kwamba muamini mtapata kura za waislam, forget about that!!! Na mtaambulia aibu ya karne!!

Ni hayo tu usiku wa leo!!

naona umejilipua kabisa mathumuni ya thread yako yalikuwa hapo kwa blue hayo mengine yalikuwa chachandu tuu
 
naona umejilipua kabisa mathumuni ya thread yako yalikuwa hapo kwa blue hayo mengine yalikuwa chachandu tuu

Kuna wana CUF nimewasikia wakiweka hii hoja, na ndio maana nimeiweka, na ndio maana pia CUF wanatumia nguvu zote na fitna kuhakikisha nafasi zote za uraisi bara na visiwani wanataka wao!
 
huu ujinga utafanya ccm watawale mimi kama hatuwezi kukubali ,kuungana tutaishia kupata wabunge usilete mchezo na ccm hawashindi kilahisi ,kila ukishituaka unatakiwa kutanzama nature ya watanzania ni watu Wa mihemko ...
 
Kuna wana CUF nimewasikia wakiweka hii hoja, na ndio maana nimeiweka, na ndio maana pia CUF wanatumia nguvu zote na fitna kuhakikisha nafasi zote za uraisi bara na visiwani wanataka wao!
Sioni sababu ya CUF kung'ang'ania itoe mgombea Tanzania bara wakati tu mambo mengi hayapo sawa hapo...mfano.
1:Haijajitangaza vya kutosha katika maeneo yote ya Tanzania
2:Sidhani kuwa hata gharama za kampeni wataziweza kuzunguka maeneo mengi ya nchi hii wasipotumia helicopter.
3:Hawana Intelegensia ya kutosha kuweza kupambana na hila za ccm na wasifikiri chadema imefika hapo ilipo kwa bahati mbaya,bila intelegensia na wanasheria mahiri wa chama basi chadema ingekuwa imefutika mda mrefu sana.
Wazingatie chadema wamepiga kampeni nchi nzima kuanzia 2010 hadi leo,je CUF wamefanya hivyo katika wilaya ngapi hapa nchini toka 2010?
Kama vipi bora cdm isimamishe mgombea wake sio chama kingine kisafirie nyota ya wengine waliohenyeka kwa jua,mvua na baridi kwa vipindi vyote hivyo wengine wakiwa kwenye viyoyozi tu.
Tumeona harakati za chadema kote nchini hata hivi karibuni tu,ni chama gani katika UKAWA wamezunguka nchi nzima kuhamasisha watu kujiandikisha katika daftari la wapiga kura zaidi ya cdm?

Kwanini utake kuvuna zaidi wakati hukwenda kulima wala kupalilia...kila mtu avune kwa jinsi alivyopanda.
 
Wana ukawa mjiepushe na wanaotoa ushauri au wanajiunga nanyi ,mjiaweke imara na kukaa mkao ambao utasaidia anayejitoa asiwape wengine hasara.Kilichomkuta Lowasa ni project Kingunge.
 
Lipumba ndio kasoma kwenye hilo kundi la wasaka ruzuku. Au unataka DJ Mbowe aliyeishia darasa la tano, apambane na DR Magufuli mwenye CV inayoweza kumtisha hata Rais Obama
 
Hah pembo kasoma wapi nitajie hicho chuo alisoma Dr fake open universe magufuli hana lolote tajeni univst IPI alosoma
 
kuna wana cuf nimewasikia wakiweka hii hoja, na ndio maana nimeiweka, na ndio maana pia cuf wanatumia nguvu zote na fitna kuhakikisha nafasi zote za uraisi bara na visiwani wanataka wao!

ukawa mmejawa na udini.. Yaani mshaanza kumtenga lipumba kwa dini yake...?
 
Hah pembo kasoma wapi nitajie hicho chuo alisoma Dr fake open universe magufuli hana lolote tajeni univst IPI alosoma


[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Minister of Works[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Incumbent[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]Assumed office
28 November 2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]President[/TH]
[TD]Jakaya Kikwete[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Minister of Livestock Development and Fisheries[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
13 February 2008 – 28 November 2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Preceded by[/TH]
[TD]Anthony Diallo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Succeeded by[/TH]
[TD]David Mathayo David[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Minister of Lands and Human Settlements[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
6 January 2006 – 13 February 2008[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]President[/TH]
[TD]Jakaya Kikwete[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Succeeded by[/TH]
[TD]John Chiligati[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Minister of Works[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
2000–2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]President[/TH]
[TD]Benjamin Mkapa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Deputy Minister of Works[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
1995–2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]President[/TH]
[TD]Benjamin Mkapa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Member of Parliament
for Chato[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Incumbent[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]Assumed office
November 2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Majority[/TH]
[TD]36,142 (66.39%)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Member of Parliament
for Biharamulo East[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
1995–2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Succeeded by[/TH]
[TD]Anatory Choya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #E6E6FA, colspan: 2, align: center"]Personal details[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Born[/TH]
[TD]29 October 1959 (age 55)
Tanganyika[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Nationality[/TH]
[TD]Tanzanian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Political party[/TH]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Alma mater[/TH]
[TD]UDSM (BSc), (MSc), (PhD)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
huu ujinga utafanya ccm watawale mimi kama hatuwezi kukubali ,kuungana tutaishia kupata wabunge usilete mchezo na ccm hawashindi kilahisi ,kila ukishituaka unatakiwa kutanzama nature ya watanzania ni watu Wa mihemko ...

Mkuu amini usiami tanganyika hakuna upinzani wa dhati.
Nasema hili nikiwa na ushahidi huu nimeshudia watu wengi walio kuwa wakijinasibu kuwa wao ni wanachama wa vyama vya upinzani hasa CDM wakimshabikia luwasa pale tu alipo jitangaza kugombea urais..
Jambo hili lilinishangaza sana.
Nilijaribu kuwauliza nivipi nyie muko cdm lakini munamshabikia luwasa kwakweli hawakuwa na majibu

Nikagunduwa kumbe watu wa upinzani wa tanganyika hawajawa na msimamo kama wapinzani wa pemba.
 
Hahahh...eti hata Kikwete shahidi....leo JK amekuwa point of reference na credible source.
 
Angalizo zuri. Hatutaki mtu anayejenga hoja kwa misingi ya dini. Anayetaka kuongoza dini akagombee kwenye dini. Tanzanai intka raisi wa Watanzania na si kiongozi wa dini.
 
Kama CHADEMA mnaamini nyinyi hamuihitaji CUF si mvunje tu ukawa?
why uwe kwenye muungano ambapo wewe ndo 'muhimu' kuliko wengine?
kama Mnaamini CUFhaina lolote basi jiondoeni UKAWA kila mtu asimamishe watu wake

Cuf imewahi kupata majimbo Bara bila hata UKAWA
mwatara lindi bukoba kigamboni na kwingine
 
Kama CHADEMA mnaamini nyinyi hamuihitaji CUF si mvunje tu ukawa?
why uwe kwenye muungano ambapo wewe ndo 'muhimu' kuliko wengine?
kama Mnaamini CUFhaina lolote basi jiondoeni UKAWA kila mtu asimamishe watu wake

Cuf imewahi kupata majimbo Bara bila hata UKAWA
mwatara lindi bukoba kigamboni na kwingine
CUF ndio wanataka kuvunja ukawa kwa kutaka nafasi zote ilhali wanajijua hawawezi kushinda
 
Lipumba ndio kasoma kwenye hilo kundi la wasaka ruzuku. Au unataka DJ Mbowe aliyeishia darasa la tano, apambane na DR Magufuli mwenye CV inayoweza kumtisha hata Rais Obama

hahahahahahahah Dj wa radio gani au club gani mkuu?
 
Back
Top Bottom