mimi nilishasema mapema ccm hawaaminiki hata kidogo,juhudi zote hizi za kuleta maridhiano zinazoletwa na wanaoitakia mema nchi yetu wao ccm wanafanya kama mchezo wa maigizo,hawaaminiki hata dakika 1 hawa,hakuna chochote cha maana wanapoteza muda ili cuf walegeze kamba ukifika uchaguzi wanafanya usanii wao kama kawa na malumbano,fitna na chuki zinarudi palepale,nasisitiza tena ccm hawaaminiki hata kidogo ni vigeugeu wakubwa sana na mifano hai ipo.