Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Baada ya mabomu kutokea na kuhairisha uchaguzi wa kata 4 pale Arusha, chama cha wananchi (cuf) kupitia mwenyekiti wake profesa lipumba kilisema mabom yalitupwa kwa ajili ya kuikosesha cuf ushndi katika kata hizo ambazo walikua eti na uhakika wa ushndi. Vipi sasa kuhusu kuburuzwa kwnye matokeo ya jana mmehujumiwa tena?