CUF sasa kujifuta, kutangaza kujiunga na CCM

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
CUF kujifuta, kutangaza kujiunga na CCM

Kuna tetesi kwamba mazungumzo ya sisri baina ya CUF na CCM yamekuwa yakifanyika ili kuungana kwa vyama hivyo.

Muafaka umeshafikiwa na kinachongojewa ni kwa JK kutangaza Baraza lake la Mawaziri ambalo litajumuisha baadhi ya viongozi wa CUF ili kukamilisha, kwa huku Bara, kile kilichoitwa maridhiano kule Visiwani.

Suala hili ndilo limemchelewesha JK kutangaza Baraza la Mawaziri.

Changamoto nyingine iliyozuka ni kupata jina jipya la chama hicho kipya, na hili limewekwa siri hadi siku ya kutangaza.

Mnaokumbuka mwaka 1977 TANU ilipoungana na ASP jina la CCM halikutangazwa hadi siku ya kuzinduzi wa chama kipya – tarehe 5 Februari 1977.

Hili bifu lote la Bungeni kati ya CUF na Chadema, hususan kwa Chadema kushikilia msimamo wake ndiyo limechochea mazungumzo ya kuungana kwa CUF na CCM kwenda haraka.

Habari zinasema iwapo Chadema wangekubali masharti ya CUF na hivyo viongozi wa CUF kuingia ndani ya Kambi ya Upinzani bungeni, basi kuungana kwa vyama hivyo kungesitishwa kwa sababu CCM tayari wangekuwa wamepenyeza ‘watu' wao (yaani viongozi wa CUF) ndani ya Chadema na hivyo kuwawezesha kujua siri na mikakati yote dhidi ya chama tawala.

Nawasilisha.
 
Pamoja na kwamba hili linawezekana, lakini weka source -- ambayo ni credible. Otherwise ni uzushi tu.
 
Jamani nadhani huu ni uzushi!!! Hilo baraza litatangazwa na hamana yeyote yule kiongozi wa CUF atakayepewa madaraka-Habari ndo hiyo
 
CUF kujifuta, kutangaza kujiunga na CCM

Kuna tetesi kwamba mazungumzo ya sisri baina ya CUF na CCM yamekuwa yakifanyika ili kuungana kwa vyama hivyo.

Muafaka umeshafikiwa na kinachongojewa ni kwa JK kutangaza Baraza lake la Mawaziri ambalo litajumuisha baadhi ya viongozi wa CUF ili kukamilisha, kwa huku Bara, kile kilichoitwa maridhiano kule Visiwani.

Suala hili ndilo limemchelewesha JK kutangaza Baraza la Mawaziri.

Changamoto nyingine iliyozuka ni kupata jina jipya la chama hicho kipya, na hili limewekwa siri hadi siku ya kutangaza.

Mnaokumbuka mwaka 1977 TANU ilipoungana na ASP jina la CCM halikutangazwa hadi siku ya kuzinduzi wa chama kipya – tarehe 5 Februari 1977.

Hili bifu lote la Bungeni kati ya CUF na Chadema, hususan kwa Chadema kushikilia msimamo wake ndiyo limechochea mazungumzo ya kuungana kwa CUF na CCM kwenda haraka.

Habari zinasema iwapo Chadema wangekubali masharti ya CUF na hivyo viongozi wa CUF kuingia ndani ya Kambi ya Upinzani bungeni, basi kuungana kwa vyama hivyo kungesitishwa kwa sababu CCM tayari wangekuwa wamepenyeza ‘watu' wao (yaani viongozi wa CUF) ndani ya Chadema na hivyo kuwawezesha kujua siri na mikakati yote dhidi ya chama tawala.

Nawasilisha.

haya mambo tunaweza dhani ni hadithi lakini ndo tunakoelekea .....kifo cha CUF kipo mbioni
 
CUF kujifuta, kutangaza kujiunga na CCM

Kuna tetesi kwamba mazungumzo ya sisri baina ya CUF na CCM yamekuwa yakifanyika ili kuungana kwa vyama hivyo.

Muafaka umeshafikiwa na kinachongojewa ni kwa JK kutangaza Baraza lake la Mawaziri ambalo litajumuisha baadhi ya viongozi wa CUF ili kukamilisha, kwa huku Bara, kile kilichoitwa maridhiano kule Visiwani.

Suala hili ndilo limemchelewesha JK kutangaza Baraza la Mawaziri.

Changamoto nyingine iliyozuka ni kupata jina jipya la chama hicho kipya, na hili limewekwa siri hadi siku ya kutangaza.

Mnaokumbuka mwaka 1977 TANU ilipoungana na ASP jina la CCM halikutangazwa hadi siku ya kuzinduzi wa chama kipya – tarehe 5 Februari 1977.

Hili bifu lote la Bungeni kati ya CUF na Chadema, hususan kwa Chadema kushikilia msimamo wake ndiyo limechochea mazungumzo ya kuungana kwa CUF na CCM kwenda haraka.

Habari zinasema iwapo Chadema wangekubali masharti ya CUF na hivyo viongozi wa CUF kuingia ndani ya Kambi ya Upinzani bungeni, basi kuungana kwa vyama hivyo kungesitishwa kwa sababu CCM tayari wangekuwa wamepenyeza ‘watu' wao (yaani viongozi wa CUF) ndani ya Chadema na hivyo kuwawezesha kujua siri na mikakati yote dhidi ya chama tawala.

Nawasilisha.

napingana na hoja yako kwakuwa haina msingi wala uhalisia wowote
 
CUF kujifuta, kutangaza kujiunga na CCM

Kuna tetesi kwamba mazungumzo ya sisri baina ya CUF na CCM yamekuwa yakifanyika ili kuungana kwa vyama hivyo.

Muafaka umeshafikiwa na kinachongojewa ni kwa JK kutangaza Baraza lake la Mawaziri ambalo litajumuisha baadhi ya viongozi wa CUF ili kukamilisha, kwa huku Bara, kile kilichoitwa maridhiano kule Visiwani.

Suala hili ndilo limemchelewesha JK kutangaza Baraza la Mawaziri.

Changamoto nyingine iliyozuka ni kupata jina jipya la chama hicho kipya, na hili limewekwa siri hadi siku ya kutangaza.

Mnaokumbuka mwaka 1977 TANU ilipoungana na ASP jina la CCM halikutangazwa hadi siku ya kuzinduzi wa chama kipya – tarehe 5 Februari 1977.

Hili bifu lote la Bungeni kati ya CUF na Chadema, hususan kwa Chadema kushikilia msimamo wake ndiyo limechochea mazungumzo ya kuungana kwa CUF na CCM kwenda haraka.

Habari zinasema iwapo Chadema wangekubali masharti ya CUF na hivyo viongozi wa CUF kuingia ndani ya Kambi ya Upinzani bungeni, basi kuungana kwa vyama hivyo kungesitishwa kwa sababu CCM tayari wangekuwa wamepenyeza ‘watu' wao (yaani viongozi wa CUF) ndani ya Chadema na hivyo kuwawezesha kujua siri na mikakati yote dhidi ya chama tawala.

Nawasilisha.

Kama lengo ni kuleta maendeleo kwa tanzania na hususan zanzibar tatizo liko wapi?????!!!! Inavyoonekana umechukizwa kwa wazanzibar kuamua kuungana kupitia muafaka kuwa kitu kimoja ili kujenga nchi yao
 
Kama lengo ni kuleta maendeleo kwa tanzania na hususan zanzibar tatizo liko wapi?????!!!! Inavyoonekana umechukizwa kwa wazanzibar kuamua kuungana kupitia muafaka kuwa kitu kimoja ili kujenga nchi yao

Nadhani si swala la wazanzibari kuamua kujenga nchi yao kwa njia ya muafaka, The Issue ni CUF kuendelea kudanganya umma wa watanzania kuwa wao ni chama cha upinzani chenye uchungu na wananchi wote wa Tanzania ilhali wao si hivyo kama wanavyodai,Ukweli ni kwamba CUF hawana nia wala mapenzi yoyote kwa nchi hii isipokuwa kwa Wazanzibari peke yao!.

Kama wanatetea maslahi ya zanzibar kwa style hii sioni kwanini waone shida kuungana na CCM na kuwa wakweli kuliko sasa jinsi wanavyoishi kinafiki.
 
Back
Top Bottom