CUF: Ni wapinzani au watawala?

CUF: Ni wapinzani au watawala?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,775
Reaction score
9,202
Hiki chama sikielewi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa upande wa bara ni wa pinzani ila kwa upande wa Zanzibar ni watawala. Ila Msekwa kasema hakuna chama tawala, bali wanaongoza ktk mfumo wa vyama ving.
 
lgunga, ccm imeingiza timu mbili, Chadema kazi wanayo
 
cuf ndicho chama pekee tanzania kinachoweza kupambana na ccm vyama vingine cdm nccr tlp ni kampuni za viongozi.
 
cuf ndicho chama pekee tanzania kinachoweza kupambana na ccm vyama vingine cdm nccr tlp ni kampuni za viongozi.
<br />
<br />
kweli ccm iko imara, imeiwowa cuf kimoja
 
Angekua ni mwanamke tungemuita malaya,
Yaani hana bwana mmoja!!
 
cuf ni branch ya ccm kwahiyo jibu mnalo sizani kama mwembe unaweza kuwa na tawi la mpera
 
Kataa CCM kataa CUF hawa ndio wana spoil maendeleo yetu
 
Back
Top Bottom