Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Prof.Ibrahim Lipumba amekanusha kauli hiyo leo asubuhi wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha Jambo Tanzania kirushwacho kila siku asubuhi kwenye Television ya Taifa; akijibu swali hilo Prof alisema kuwa CUF hakijapoteza mvuto kwa watanzania na kimsingi chama cha CUF ni chama kinachosimamia HAKI kwa watanzania na ni chama cha wanyonge hata Hayati Mwl Nyerere aliwahi kuweka bayana ya kuwa chama chenye upinzani wa kweli na chenye maslahi kwa Watanzania ni chama cha Wananchi CUF.
My take (........ )
My take (........ )