Ngatele
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 809
- 706
We Kilaza kweli yaani ugaragazwe na CCM kibao umgeuzie CUF!!! tena hakuna kata muhimu kuliko nyingine zote ni muhimu kwa chama makini na chenye kujali maslahi ya wananchi! ubaguzi mnaoonyesha Chadema hata ktk kata ipi ni muhimu na ipi si muhimu itazidi kuwagharimu!
Matokeo kwa CDM ni mazuri sana kwa kutazama idadi ya kura walizopata na kwa kuzingatia pia Kuwa CDM ni chama cha vijana na kwa sasa (currently) vijana wengi hawajaandikishwa kwenye daftari la wapiga kura. Uchaguzi huu ni sampuli nzuri ya keonyesha kuwa mwakani ccm wasipotumia nguvu za dola kitakuwa chama cha upinzani. HONGERENI CDM.