MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
Ni dhahiri kwa matokeo ya uchaguzi mdogo wa udiwani chama cha CUF kinaendelea kujifuta kwenye siasa za Tanzania bara. kwenye kata kilicho shiriki kimepata kura chache sana.
CCM haina habari tena na CUF, cuf nayo maskini ya Mungu imejichokea zake na iko taabani. mchuano umebaki kati ya chadema na ccm. na mchuano huu wa chadema na ccm nao upo kwa kuwa ccm inabebwa sana na dola na hakuna level playing field.
kama uchaguzi unafanyika bila kuingiliwa na dola hakika leo hii wenza wa cuf nao wangekuwa kama cuf. cuf manakufa ccm wanachekelea.
CCM haina habari tena na CUF, cuf nayo maskini ya Mungu imejichokea zake na iko taabani. mchuano umebaki kati ya chadema na ccm. na mchuano huu wa chadema na ccm nao upo kwa kuwa ccm inabebwa sana na dola na hakuna level playing field.
kama uchaguzi unafanyika bila kuingiliwa na dola hakika leo hii wenza wa cuf nao wangekuwa kama cuf. cuf manakufa ccm wanachekelea.