hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,919
Hakuna asiyejua kuwa CCM wanafanya kila linalowezekana na wanakesha usiku na mchana kuhakikisha CUF inakufa au UKAWA kwa ujumla na wanapoteza mamilioni ya wakati na pesa nyingi sana kwa ajili ya kuua upinzani.
Lakini mwisho wa siku sijui watakuja kuambulia nini. Hilo ndio swali ambalo najiuliza kila siku na sipati jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mwisho wa siku sijui watakuja kuambulia nini. Hilo ndio swali ambalo najiuliza kila siku na sipati jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app