Cuf haina mulekeo

Ni matumaini yangu kuwa nguvu ya cuf bara na visiwani imekwisha na ninamuomba mmiliki pekee wa cuf aliyeko visiwani ajue hilo

Mkuu nakuunga mkono 100%. CUF imekwisha na haina mwelekeo. Iko kwenye dilema, hawajui waelekee upande gani - kilichobaki ni kudandia hoja ovyo ovyo ili waonekane nao bado wapo lakini kimsingi imebaki muflisi. Kuna mambo kadhaa yaliyochangia kukimaliza hiki chama, naomba niorodheshe machache sana:-

(i) UBAGUZI: Hiki chama ni cha kibaguzi uzanzibari na hasa upemba ukiwekwa daraja la juu zaidi ndani ya CUF. Viongozi na wanachama kutoka bara ndani ya CUF wapo wapo tu just kwa matakwa ya kisheria kwamba lazima chama kiwe na idadi fulani ya wanachama Bara na Visiwani.

(ii) GHASIA, FUJO, NA CHUKI: Kwa asili CUF ni chama cha ghasia, fujo, na chuki dhidi ya YEYOTE asiyekuwa "mwenzao"; hili linashabihiana na (i) hapo juu. Wakati wenzao wanahubiri AMANI wao na hasa enzi hizo kikiwa na nguvu kilichochea FUJO. Kauli kama NGANGARI (na hatimaye NGUNGURI za Polisi) au matumizi ya majina mbali mbali yenye kuleta hofu katika jamii haikuwa muafaka katika kujenga image ya chama mbele ya jamii bali kubomoa. Mfano angalia majina ya matawi ya CUF - CHECHNYA, TORA BORA, HAMAS, OSAMA, AL QAEDA, n.k. lengo lake ni nini? Au walitaka kuonesha nini kwa umma? Hivi wangetumia majina ya kawaida ya mahali husika isingefaa mpaka watumie majina ya maeneo ambayo dunia nzima inajua nini kinaendelea huko? Stupid!

(iii) USULTAN: Hili liko wazi, CUF ni ya Maalim Seif na Wapemba wenzie. Akina Lipumba ni kanyaboya tu pale. Tangu mfumo wa vyama vingi wao (Maalim Seif na Lipumba) wamekwa viongozi na wagombea wa kudumu wa urais ndani ya CUF na hakuna dalili kwamba watang'oka hivi karibuni. Hii sio nzuri sana kwa chama na inafifisha demokrasia - matokeo yake ADC.

(iv) MUAFAKA: Muafaka uligeuzwa siri iliyokuja kuzaa "ndoa" kati ya CUF na CCM. Na kwa kuwa sharti siri za ndoa zilindwe na wanandoa, CUF imejikuta katika wakati mgumu katika kuamua isimamie nini/wapi linapokuja suala la kitaifa ambalo linaonekana kumuathiri mwanandoa mwenzake - CCM. Hivyo, badala ya kuwa na maamuzi huru kimekuwa chama cha kufuata mkumbo zaidi - wakati mwingine CCM na wakati mwingine upinzani hasa pale kinapobaidi "wananchi watanionaje" kama hili la Bungeni juzi.

Kwa uchache ni hayo mengine nimeyahifadhi; nikiyafumua hapa milima itatikisika.
 
Wagawe na uwatawale, tuwacheni mambo ya kizamani, mnahubiri ubaguzi tu humu hamna cha kuongea, Jee ingalitokeo CUF wasingeunga mkono CDM kwa kupata hizo saini mungalisemaje ??? Tuwacheni unafiq, ubaguzi hauna nafasi hapa.

Mimi mnanikera kuzungumzia Znzibar na hali Tanganyika yetu tunayo huku, hebu tufikirie huku kwetu kwanza ndo tulete longolongo za kipumbavu, kama ni uunguja au upemba sisi yanatuhusu nini?? Leteni fikra pevu za Kitanganyika achana na CUF, Cuf kwao Ni Zenjiiii.
 
nyinyi sio msahafu maneno yenu sio sheria basi ata cdm chama cha wachaga .msilopoke sana kama nchi mechangia kuifikisha apa .ilipo tunajuwa tunaelewa na tunaona usiseme cuf cdm ccm apana malengo mmeyaharibu tokea awari ss maji yapo .......
 
Mkuu nakuunga mkono 100%. CUF imekwisha na haina mwelekeo. Iko kwenye dilema, hawajui waelekee upande gani - kilichobaki ni kudandia hoja ovyo ovyo ili waonekane nao bado wapo lakini kimsingi imebaki muflisi. Kuna mambo kadhaa yaliyochangia kukimaliza hiki chama, naomba niorodheshe machache sana:-

(i) UBAGUZI: Hiki chama ni cha kibaguzi uzanzibari na hasa upemba ukiwekwa daraja la juu zaidi ndani ya CUF. Viongozi na wanachama kutoka bara ndani ya CUF wapo wapo tu just kwa matakwa ya kisheria kwamba lazima chama kiwe na idadi fulani ya wanachama Bara na Visiwani.

(ii) GHASIA, FUJO, NA CHUKI: Kwa asili CUF ni chama cha ghasia, fujo, na chuki dhidi ya YEYOTE asiyekuwa "mwenzao"; hili linashabihiana na (i) hapo juu. Wakati wenzao wanahubiri AMANI wao na hasa enzi hizo kikiwa na nguvu kilichochea FUJO. Kauli kama NGANGARI (na hatimaye NGUNGURI za Polisi) au matumizi ya majina mbali mbali yenye kuleta hofu katika jamii haikuwa muafaka katika kujenga image ya chama mbele ya jamii bali kubomoa. Mfano angalia majina ya matawi ya CUF - CHECHNYA, TORA BORA, HAMAS, OSAMA, AL QAEDA, n.k. lengo lake ni nini? Au walitaka kuonesha nini kwa umma? Hivi wangetumia majina ya kawaida ya mahali husika isingefaa mpaka watumie majina ya maeneo ambayo dunia nzima inajua nini kinaendelea huko? Stupid!

(iii) USULTAN: Hili liko wazi, CUF ni ya Maalim Seif na Wapemba wenzie. Akina Lipumba ni kanyaboya tu pale. Tangu mfumo wa vyama vingi wao (Maalim Seif na Lipumba) wamekwa viongozi na wagombea wa kudumu wa urais ndani ya CUF na hakuna dalili kwamba watang'oka hivi karibuni. Hii sio nzuri sana kwa chama na inafifisha demokrasia - matokeo yake ADC.

(iv) MUAFAKA: Muafaka uligeuzwa siri iliyokuja kuzaa "ndoa" kati ya CUF na CCM. Na kwa kuwa sharti siri za ndoa zilindwe na wanandoa, CUF imejikuta katika wakati mgumu katika kuamua isimamie nini/wapi linapokuja suala la kitaifa ambalo linaonekana kumuathiri mwanandoa mwenzake - CCM. Hivyo, badala ya kuwa na maamuzi huru kimekuwa chama cha kufuata mkumbo zaidi - wakati mwingine CCM na wakati mwingine upinzani hasa pale kinapobaidi "wananchi watanionaje" kama hili la Bungeni juzi.

Kwa uchache ni hayo mengine nimeyahifadhi; nikiyafumua hapa milima itatikisika.

Gamba hilo limetumwa
 
Gamba hilo limetumwa

Teh teh teh teh teh! Mtahangaika sana ninyi wapemba. Kubalini mmeingia chaka na ndio maana kwa aibu mnajaribu kudandia au kuja na hoja dhaifu ili muonekane bado mpo!

Mna bahati mbaya sana; Shida yenu hamjamjua adui hasa wa nchi yetu mnabaki kubwabwaja tu kama hilo Juha lenu.
 
Back
Top Bottom