Utabiri wako "KUNTU"!
Mbona hujatabiri pia kwamba ccm itakufa zanzibar muungano ukivunjika? Au kwa mawazo yako unadhani ccm itaendelea kutawala zanzibar bila kuwako muungano?:sick: Natabiri kuwa CUF haina uhai Bara endapo Muungano utakufa!
Hata ccm nayo itakufa kwani ni muungano wa vyama 2 toka bara na visiwani kama cuf ilivyoungana kati ya chama cha james mapalal na sharfu hamad.:sick: Natabiri kuwa CUF haina uhai Bara endapo Muungano utakufa!