dominion
Member
- Mar 8, 2017
- 25
- 13
Mambo vp wadau.
Naomba mnifahamishe,nimejaribu kutafuta jibu kwa internet na kuuliza baadhi ya watu lakini sijapata jibu...swali langu NI SAWA KUCROSS KUROILER CHICKEN NA KUKU WA KIENYEJI,kwamba hao vifaranga watakaototolewa wayakuwa na uweza wa kulalia mayai kama kenyeji na lia wawe na sifa za kuroiler kama vile kutaga mayai mengi na ni wakubwa wa mwili.
Naombeni majibu wataalamu!
Naomba mnifahamishe,nimejaribu kutafuta jibu kwa internet na kuuliza baadhi ya watu lakini sijapata jibu...swali langu NI SAWA KUCROSS KUROILER CHICKEN NA KUKU WA KIENYEJI,kwamba hao vifaranga watakaototolewa wayakuwa na uweza wa kulalia mayai kama kenyeji na lia wawe na sifa za kuroiler kama vile kutaga mayai mengi na ni wakubwa wa mwili.
Naombeni majibu wataalamu!
