Criticism isn't policy.! (Ukosoaji sio sera)

Criticism isn't policy.! (Ukosoaji sio sera)

Irene17

Member
Joined
Feb 8, 2025
Posts
42
Reaction score
115
Unajua, huwezi kujenga chama bila clear policy positions.

CDM imekuwa ikikosoa CCM na serikali yake tu lakini criticism isn't policy. (Ukosoaji sio sera)

Watanzania wangapi wanajua msimamo wa CDM kuhusu kodi, foreign policy, defence policy, immigration, labour rights, mazingira ,kilimo.afya, Elimu, nk.

Maswala ya nchi yanahusu political stability, social stability,economical stability na mengine mengi .

Haya ndiyo ya msingi.

Lakini CDM inajulikana zaidi kwa uma kwa kile inapinga kuliko misingi yake na sera zake.

Tofauti ya CCM na CDM ni ,

(Chadema is well known for what is against)

( CCM is well known for what it stands for)
 
Haya mama Irene kachukue fungu lako, japo dume la mbegu
 
Unajua, huwezi kujenga chama bila clear policy positions.

CDM imekuwa ikikosoa CCM na serikali yake tu lakini criticism isn't policy. (Ukosoaji sio sera)

Watanzania wangapi wanajua msimamo wa CDM kuhusu kodi, foreign policy, defence policy, immigration, labour rights, mazingira ,kilimo.afya, Elimu, nk.

Maswala ya nchi yanahusu political stability, social stability,economical stability na mengine mengi .

Haya ndiyo ya msingi.

Lakini CDM inajulikana zaidi kwa uma kwa kile inapinga kuliko misingi yake na sera zake.

Tofauti ya CCM na CDM ni ,

(Chadema is well known for what is against)

( CCM is well known for what it stands for)
Uchawa umesomea wapi
 
Unajua, huwezi kujenga chama bila clear policy positions.

CDM imekuwa ikikosoa CCM na serikali yake tu lakini criticism isn't policy. (Ukosoaji sio sera)

Watanzania wangapi wanajua msimamo wa CDM kuhusu kodi, foreign policy, defence policy, immigration, labour rights, mazingira ,kilimo.afya, Elimu, nk.

Maswala ya nchi yanahusu political stability, social stability,economical stability na mengine mengi .

Haya ndiyo ya msingi.

Lakini CDM inajulikana zaidi kwa uma kwa kile inapinga kuliko misingi yake na sera zake.

Tofauti ya CCM na CDM ni ,

(Chadema is well known for what is against)

( CCM is well known for what it stands for)
Cdm wana sera na ilani yao, ila wengi kinachowaumiza ni ukosoaji wao dhidi ya ccm ama serekali, matokeo yake akili za wengi mmebaki kuona ukosoaji tu. Hata hivyo nchi hii haingozwi na sera, bali utashi wa rais aliyeko madarakani. Mifumo mingine yote inajiadjust na utashi wa rais aliye madarakani. Ushahidi wa nisemacho upo.
 
Unajua, huwezi kujenga chama bila clear policy positions.

CDM imekuwa ikikosoa CCM na serikali yake tu lakini criticism isn't policy. (Ukosoaji sio sera)

Watanzania wangapi wanajua msimamo wa CDM kuhusu kodi, foreign policy, defence policy, immigration, labour rights, mazingira ,kilimo.afya, Elimu, nk.

Maswala ya nchi yanahusu political stability, social stability,economical stability na mengine mengi .

Haya ndiyo ya msingi.

Lakini CDM inajulikana zaidi kwa uma kwa kile inapinga kuliko misingi yake na sera zake.

Tofauti ya CCM na CDM ni ,

(Chadema is well known for what is against)

( CCM is well known for what it stands for)

..CCM stands for corruption, public funds embezzlement, and human rights abuses. That is what the party is known for.
 
Back
Top Bottom