Critiano Ronaldo kaondoka kishujaa Manchester United

Critiano Ronaldo kaondoka kishujaa Manchester United

John abruzzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,461
Reaction score
3,482
Vyombo vya habari vimetumika kumchafua kwa kuyapa uzito mambo hasi, lakini aliongea mengi ya msingi na ukweli.

Miongoni mwa mambo hayo ni:
~ Glazer hawajali timu.
~ Tangu Fergurson aondoke, hakuna maendeleo yoyote.
~ Tangu aondoke 2009 hadi aliporudi 2021 licha ya mabadiliko ya tekhnolojia, lakini miundombinu ya Man U haijabadilika n.k.

Nadhani ilikuwa sawa kuondoka katika timu kwa sababu ya umri umekwenda, lakini hakika kaondoka kishujaa mbele yetu sisi mashabiki wa Man U.
 
Hizo points alizoongea zinahusianaje na yeye kukosa magoli/nafasi za wazi???? Kishujaa my foot!!!!
 
Vyombo vya habari vimetumika kumchafua kwa kuyapa uzito mambo hasi, lakini aliongea mengi ya msingi na ukweli.

Miongoni mwa mambo hayo ni:
~ Glazer hawajali timu.
~ Tangu Fergurson aondoke, hakuna maendeleo yoyote.
~ Tangu aondoke 2009 hadi aliporudi 2021 licha ya mabadiliko ya tekhnolojia, lakini miundombinu ya Man U haijabadilika n.k.

Nadhani ilikuwa sawa kuondoka katika timu kwa sababu ya umri umekwenda, lakini hakika kaondoka kishujaa mbele yetu sisi mashabiki wa Man U.
Style aliyoitumia kuondoka ni wehu Tu watamuunga mkono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom