Mkuu unakujaje bila kutoa taarifa kwa wenyeji? Pole sana, nadhan huwa inatokea,,ungehamisha pesa kutoka CRDB kwa kutumia sim banking, halafu ukatoa kwa wakala, ama ukaenda kwa mawakala wa CRDB ukato huko pesa yako.
ATM ya masika huwa iko vzuri wakati wote, sijui nini kilitokea! Pole sana mkuuu