Jana walimaliza mikato yao na wakatutumia ujumbe, wacha nijikoki kwenda town na nilivyokua na kiu..... kufika natia kadi hola, nikarudia ikamezwa kabisa...🤨
Jana walimaliza mikato yao na wakatutumia ujumbe, wacha nijikoki kwenda town na nilivyokua na kiu..... kufika natia kadi hola, nikarudia ikamezwa kabisa...🤨
Lazima watakuwa na management ya hovyo kama serikali ya CCM, wangeweza kufanya usiku na kwa vipande vipande, nina uhakika hata wao wamepoteza billions, ningekuwa shareholder CEO angeondoka
Kwa kweli CRDB wamechemsha sana .
Toka ijumaa, walisema matawi yatafungwa , ila Simbanking itapatikana, uongo mtupu!
Mpaka saa tano na nusu CRDB ilikuwa haipatikani mtandaoni.
Uongozi uwajibike, kwani transactions in billions zimeyayuka.