ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,295
- 52,254
- Thread starter
- #21
Ndio akili yako ilipoishia hapo si ndio?Pesa za utakatishaji zimeanza kuflow
Ndio akili yako ilipoishia hapo si ndio?Pesa za utakatishaji zimeanza kuflow
Ukisikia kufungua Nchi ndio huku Sasa na Kwa haya yanayotokea Rais Samia Anastahili Tuzo ya Uchumi.. Dr. Samia ni akili. kubwa wengine wamekaririshwa Makaratasi 😁😁.
Benki ya CRDB imesema itatoa gawio la Kihistoria Kwa wanahisa wake takribani Bilioni 118 baada ya kuvuna faida kubwa..
Ikumbukwe hiki ndicho kiasi kikubwa zaidi kuwahi kutolewa na Benki hiyo Kwa wanahisa wake ikiwemo Serikali..
Hata uwe General Manager kutoka Kwa Elon Musk kama sera za Uchumi za Nchi sio Rafik hakuna faida utapataSamia ndiye general manager wa crdb?
Sio mwanahisa,nitapata Kupitia gawio la serikaliwewe ya kwako sh. Ngapi kwenye hilo gawio?
Atapewa buku 7 tangu kikwete mpaka sasa haijapandawewe ya kwako sh. Ngapi kwenye hilo gawio?
how?Sio mwanahisa,nitapata Kupitia gawio la serikali
Kwani Serikali haitoi Huduma au kujenga Miundombinu ya Huduma?how?
Sawa chawa wa mamaKwani Serikali haitoi Huduma au kujenga Miundombinu ya Huduma?
Ukisikia kufungua Nchi ndio huku Sasa na Kwa haya yanayotokea Rais Samia Anastahili Tuzo ya Uchumi.. Dr. Samia ni akili. kubwa wengine wamekaririshwa Makaratasi 😁😁.
Benki ya CRDB imesema itatoa gawio la Kihistoria Kwa wanahisa wake takribani Bilioni 118 baada ya kuvuna faida kubwa..
Ikumbukwe hiki ndicho kiasi kikubwa zaidi kuwahi kutolewa na Benki hiyo Kwa wanahisa wake ikiwemo Serikali..
Hicho ni kisebengo kwa kapuku kama wewe kushadadia mambo ya wenyeweSio mwanahisa,nitapata Kupitia gawio la serikali
Wivu,unataka nishadidie mambo Yako? Tajiri akisimama ni nafuu Kwa kapuku sio nyumbu mwenye kijiba Cha roho kama wewe unaumia kuona Samia anafanya vizuri 😁😁Hicho ni kisebengo kwa kapuku kama wewe kushadadia mambo ya wenyewe