CRDB Katavi

CRDB Katavi

ngonani

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
1,366
Reaction score
598
Tofauti na matawi mengine ya CRDB hapa hakuna dirisha special la watu wanaokuja ku-deposit hela zaidi ya millioni 10,matokeo yake foleni ni kubwa mno kwa ajili ya watu kusubili mtu mmoja au wawili wanao deposit mamilioni ya shilingi,mbaya zaidi kuna madirisha manne ya ma teller lakini yanayotoa huduma ni mawili tu,mmoja wa tatu kafungua kidogo kisha kafunga na kuweka kibao hakuna huduma,nilikuwepo mwenyewe leo hii na nadhani pia uzito wa wafanyakazi wa tawi ili unachangia huduma hafifu na foleni kubwa.
 
Ungekutana na huduma ya mtoto wa kike wa Kimei aliyepo pale CRDB branch ya UDSM, nadhani ungeona huduma ya CRDB huko Katavi ni bora kabisa!
 
Hawa CRDB foleni ni moja ya mikakati yao ya kistratejia

photo0004.jpg


Wanchi+to+crdb.jpg
 
Vumilia tu aisee hilo tatizo lipo sehemu zote.
 
Pamoja na mambo mengine,tatizo mie nadhani linasababishwa na aina ya wateja wa mabenki yetu.Watu wengi hufanya miamala mingi wakati fulani tu,kwa mfano mwisho wa mwezi,wakati wa kulipa ada za wanafunzi n.k...........sasa benki haiwezi kuajiri wafanyakazi wengi ili kuhudumia wateja wa msimu tu,ndio maana hesabu za `Queuing` hufanywa ili kukadiri idadi ya wafanyakazi inayoweza kuwahudumia wateja idadi fulani.
 
Pamoja na mambo mengine,tatizo mie nadhani linasababishwa na aina ya wateja wa mabenki yetu.Watu wengi hufanya miamala mingi wakati fulani tu,kwa mfano mwisho wa mwezi,wakati wa kulipa ada za wanafunzi n.k...........sasa benki haiwezi kuajiri wafanyakazi wengi ili kuhudumia wateja wa msimu tu,ndio maana hesabu za `Queuing` hufanywa ili kukadiri idadi ya wafanyakazi inayoweza kuwahudumia wateja idadi fulani.

Hizo hesabu umenkumbusha mbali sana
 
Ungekutana na huduma ya mtoto wa kike wa Kimei aliyepo pale CRDB branch ya UDSM, nadhani ungeona huduma ya CRDB huko Katavi ni bora kabisa!
ha ha ha ha!siku nikisikia amekufa nitafueahi sana!!ananikwaza mno!!!!!
 
Tofauti na matawi mengine ya CRDB hapa hakuna dirisha special la watu wanaokuja ku-deposit hela zaidi ya millioni 10,matokeo yake foleni ni kubwa mno kwa ajili ya watu kusubili mtu mmoja au wawili wanao deposit mamilioni ya shilingi,mbaya zaidi kuna madirisha manne ya ma teller lakini yanayotoa huduma ni mawili tu,mmoja wa tatu kafungua kidogo kisha kafunga na kuweka kibao hakuna huduma,nilikuwepo mwenyewe leo hii na nadhani pia uzito wa wafanyakazi wa tawi ili unachangia huduma hafifu na foleni kubwa.

Kwanza Kabisa pole kwa usumbufu ulioupata. Siku nyingine Kama una pesa nyingi nenda hata kwa Meneja wa tawi mwambie nina kiasi fulani hivyo nisaidieni. Bank that LISTEN.
 
Ungekutana na huduma ya mtoto wa kike wa Kimei aliyepo pale CRDB branch ya UDSM, nadhani ungeona huduma ya CRDB huko Katavi ni bora kabisa!

Watanzania mbona tunapenda sana personal attacks kuliko issue yenyewe iliyoletwa hapa Jamvini? CRDB ina wafanyakazi zaidi ya 1500', je ni hub mmoja tu hafanyi kazi? Acha wivu aw kitoto, huyo binti ni mchapa kazi mzuri sana
 
Back
Top Bottom