Jamani kwa mwenye uelewa please anisaidie, nimefungua akaunti crdb lengo kubwa nilikua nahitaji nipate visa card itakayoniwezesha kufanya malipo mbali mbali online, sasa wakati nafungua akaunti nikawaomba na huduma ya internet banking wakaniambia nitatumiwa confirmation text, pia nikajaza fomu nikaambiwa wataninotify, lakini naona wiki inaenda kukatika hamna kitu, je inachukua muda gani kupata iyo text kwa anaejua tafadhali anitoe wasi wasi manake nina shida ya haraka kweli na internet banking.