Hizi kampuni zenye wateja wengi inabidi waangalie namna ya kuajili vijana katka hiki kitengo.
Sio lazima wakawapa ajira ya kudumu, hata za muda na walipwe kadiri ya kuattend hizo simu.
Inaweza kusaidia uharaka. 1 call labda afu3, watakvyoona na bajeti zao.