CRDB Bank mpaka kanisani!

Nov 11, 2010
35
12
Jumapili ya tarehe 18 Desemba, 2011nilibahatika kusali misa ya kwanza katika Kanisa Katoliki la Mt. Patrice, Morogoro. Niliona maajabu ua kituko hali iliyonilazimu kuandika katika Jamii Forum ili niweze kuwashirikisha na kupata ushauri ma maoni ya wadau. Issue yenyewe ni kwamba benki ya CRDB Mkoani Morogoro waliomba misa ya shukrani kwa ajili ya wateja wao! Ulikuwa ni mjumuiko wa matawi yote yaliyoko Morogoro. Misa iliongozwa na Askofu Mkude.

Katika mahubiri, Askofu Mkude alionyesha kushangazwa kwake na benki kuomba misa! Inakuwaje benki waombe misa. Pia aliwashukuru kwa kumtanguliza Mungu katika shughuli zao za kibenki na kuwaasa wafanye kazi kazi zao kwa uadilifu. Na hatimae CRDB bank wakatoa vipaji wakiwa ndani ya T-Shirts zao za CRDB Family Day.
Wakati wa kutoa Vote of Thanks, mwakilishi wa benki alieleza kuwa wameomba misa kumshukuru Mungu kwa kuwa benki bora kwa mwaka huu na kwashukuru wateja wao kwa kuwasupport. Na kwamba walikuja kanisani kwa "umoja wao" bila kujali itikadi ya dini zao!
Wasiwasi wangu: Kwa mwenendo huu tutatarajie nini kwenye nyumba zetu za ibada? Je, Yesu hakupindua pindua meza za watu waliokuwa wakifanya biashara katika sinagogi? Ninavyoona (kwa mtazamo wangu) si ajabu siku zijazo tutakuwa tukisikia kuwa Misa ya Kwanza imedhaminiwa na ya Tigo, Misa ya pili NMB na misa ya watoto NBC Ltd!
Waumini tunayapeleka wapi makanisa haya? Je, CRDB watadhubutu kwenda msikitini pia kuwashukuru Waislamu kwa kuwa wateja wao kwa "umoja" wao bila kujali itikadi zao kama walivyofanya Morogoro katika kanisa Katoliki?
Nawasilisha.
 
Hawawezi kuja msikitini.Sababu ziko wazi. Mfumo wa uchumi wa kikristo unakubaliana na masuala ya riba ambapo kwa Uislam ni haramu. Labda waje kutuambia nao wameanzisha akaunti zinazofuata shariah!
 
GT amehamishia uislam wake kwenye benki anayoingoza ya NBC, huko wameanzisha kitengo cha ISLAMIC BANKING!!
 
Jumapili ya tarehe 18 Desemba, 2011nilibahatika kusali misa ya kwanza katika Kanisa Katoliki la Mt. Patrice, Morogoro. Niliona maajabu ua kituko hali iliyonilazimu kuandika katika Jamii Forum ili niweze kuwashirikisha na kupata ushauri ma maoni ya wadau. Issue yenyewe ni kwamba benki ya CRDB Mkoani Morogoro waliomba misa ya shukrani kwa ajili ya wateja wao! Ulikuwa ni mjumuiko wa matawi yote yaliyoko Morogoro. Misa iliongozwa na Askofu Mkude.

Katika mahubiri, Askofu Mkude alionyesha kushangazwa kwake na benki kuomba misa! Inakuwaje benki waombe misa. Pia aliwashukuru kwa kumtanguliza Mungu katika shughuli zao za kibenki na kuwaasa wafanye kazi kazi zao kwa uadilifu. Na hatimae CRDB bank wakatoa vipaji wakiwa ndani ya T-Shirts zao za CRDB Family Day.
Wakati wa kutoa Vote of Thanks, mwakilishi wa benki alieleza kuwa wameomba misa kumshukuru Mungu kwa kuwa benki bora kwa mwaka huu na kwashukuru wateja wao kwa kuwasupport. Na kwamba walikuja kanisani kwa "umoja wao" bila kujali itikadi ya dini zao!
Wasiwasi wangu: Kwa mwenendo huu tutatarajie nini kwenye nyumba zetu za ibada? Je, Yesu hakupindua pindua meza za watu waliokuwa wakifanya biashara katika sinagogi? Ninavyoona (kwa mtazamo wangu) si ajabu siku zijazo tutakuwa tukisikia kuwa Misa ya Kwanza imedhaminiwa na ya Tigo, Misa ya pili NMB na misa ya watoto NBC Ltd!
Waumini tunayapeleka wapi makanisa haya? Je, CRDB watadhubutu kwenda msikitini pia kuwashukuru Waislamu kwa kuwa wateja wao kwa "umoja" wao bila kujali itikadi zao kama walivyofanya Morogoro katika kanisa Katoliki?
Nawasilisha.

Ndiyo maana tunaamua kusali kwenye makanisa strong, huo ni upuuzi usiokuwa na pingamizi. Subiri uone kinachofuata hapo! me kimyaaaa
 
Jumapili ya tarehe 18 Desemba, 2011nilibahatika kusali misa ya kwanza katika Kanisa Katoliki la Mt. Patrice, Morogoro. Niliona maajabu ua kituko hali iliyonilazimu kuandika katika Jamii Forum ili niweze kuwashirikisha na kupata ushauri ma maoni ya wadau. Issue yenyewe ni kwamba benki ya CRDB Mkoani Morogoro waliomba misa ya shukrani kwa ajili ya wateja wao! Ulikuwa ni mjumuiko wa matawi yote yaliyoko Morogoro. Misa iliongozwa na Askofu Mkude.



Katika mahubiri, Askofu Mkude alionyesha kushangazwa kwake na benki kuomba misa! Inakuwaje benki waombe misa. Pia aliwashukuru kwa kumtanguliza Mungu katika shughuli zao za kibenki na kuwaasa wafanye kazi kazi zao kwa uadilifu. Na hatimae CRDB bank wakatoa vipaji wakiwa ndani ya T-Shirts zao za CRDB Family Day.
Wakati wa kutoa Vote of Thanks, mwakilishi wa benki alieleza kuwa wameomba misa kumshukuru Mungu kwa kuwa benki bora kwa mwaka huu na kwashukuru wateja wao kwa kuwasupport. Na kwamba walikuja kanisani kwa "umoja wao" bila kujali itikadi ya dini zao!
Wasiwasi wangu: Kwa mwenendo huu tutatarajie nini kwenye nyumba zetu za ibada? Je, Yesu hakupindua pindua meza za watu waliokuwa wakifanya biashara katika sinagogi? Ninavyoona (kwa mtazamo wangu) si ajabu siku zijazo tutakuwa tukisikia kuwa Misa ya Kwanza imedhaminiwa na ya Tigo, Misa ya pili NMB na misa ya watoto NBC Ltd!
Waumini tunayapeleka wapi makanisa haya? Je, CRDB watadhubutu kwenda msikitini pia kuwashukuru Waislamu kwa kuwa wateja wao kwa "umoja" wao bila kujali itikadi zao kama walivyofanya Morogoro katika kanisa Katoliki?
Nawasilisha.
Kwanza siamini, na pili kama ni kweli yametokea basi ni ushauri tu kwamba ni vyema wakati mwingine viongozi wetu wakipotoka tuwakumbushe kwamba waendako siko vinginevyo na kuendelea kkufumbia macho suala kama hili tutaitwa wasafiri vipofu.
Kwa uzoefu wangu pale ambapo masuala ya mikusanyiko yanapogongana na masuala ya imani kama kwenye sherehe pale ambapo ni lazima kuonyesha kwamba tunamkumbuka mungu kwenye kila jambo masuala ya dina kuu mbili (Ukiristo na Uislam) vyote huzingatiwa na hapa sio suala la madhehebu ndio maana nimetumia "dini kuu mbili".

Sasa hii ya CRDB na Kanisa hii noma! Naamini ilikusudiwa kuwa ya kufungia mwaka.

TAHADHARI: Isije kuwa thread hii ilipaswa kuwa kwenye Jokes umeipost huku kwa bahati mbaya.
 
Je,huo ndio mwisho wako wa kufikiri? Kama sio,jipange uje na comment nyingine.

Haya ndo matokeo ya serkali legelege inayohongwa suti, imetufikisha hapa tulipo kila kiongozi mahala pake anafanya atakavyo, kiongozi wa benki muislam anaanzisha shariah banking, mkiristo anaomba misa kanisani. kama hatua muhimu za kuiondoa hii serkali madarakani hazitachukuliwa haraka hakika tusubirie maafa hapa tanganyika mithili ya somalia na nigeria. Mimi binafsi nilikuwa na mashaka ya nchi kuongozwa na mswahili tangu 2005, anyway i gave him the benefit of doubt, he has failed.
 
Kati yawachangiaji wote, hakuna aliyeonesha ubaya wa crdb kuomba Misa ya shukrani.Wala hakuna aliyeonesha ubaya wa kanisa kukubali kuadhimisha misa hiyo kwaajili ya crdb. Ninyi mnaopinga hicho kitendo hebu tupeni sababu badala yakulalamika na kulaumu. Hivi kumshukuru Mungu kwa mafanikio ni kosa? Kuomba Misakwa mafanikio ni kosa? Mbona watu binafsi huomba Misa kwa mafanikio yao yakiroho na hata ya kimwili, mf. biashara? Kwa nini liwe ni kosa kwa benki kuombamisa ya shukrani? Ubaya uko wapi? Elezeni vizuri hapo!
 
Hakuna tatizo katika hilo, tena linaimarisha zaidi Umoja wa Watanzania bila kuhangaika na imani zao! Kwa miaka yote Kanisa Katoliki limekuwa likifanya maombi maalum kwa viongozi wa Nchi yetu bila kujali dini zao, wamekuwa wakiombea wagonjwa kwa ujumla wao...kuna ajabu gani kumshukuru Mungu kwa mafanikio ya Asasi ambayo inahudumia binadamu bila kuwabagua kwa imani zao?
 
mi sioni kama kuna tatizo hapo! kumshukuru mungu ni jambo la kawaida. mbona tuliadhimisha misa kumshukuru mumgu kwa miaka hamsini ya uhuru?
 
Hali hii ikiachiwa iendelee, tutakuja kukuta hata mabango ya matangazo mbali mbali kanisani. Ifikie mahali kanisa liwe na msimamo.
 
sidhani kama ni shida kwani kuomba misa inaruhusiwa kwa mtu binafsi au kikundi
,kwa hivo misa haijaombwa na bank bali waumini au wanajumuia
tuseme wafanyakazi wa bank .si rahisi misa kudhaminiwa hiyo haipo. kumshukuru mungu kwa mafanikio ni jambo la kawaida.
hata makanisa yana bank zao mfano mkombozi na efatha banks ondoa shaka tigoairtel au bank kudhmini ibada.
 
Jumapili ya tarehe 18 Desemba, 2011nilibahatika kusali misa ya kwanza katika Kanisa Katoliki la Mt. Patrice, Morogoro. Niliona maajabu ua kituko hali iliyonilazimu kuandika katika Jamii Forum ili niweze kuwashirikisha na kupata ushauri ma maoni ya wadau. Issue yenyewe ni kwamba benki ya CRDB Mkoani Morogoro waliomba misa ya shukrani kwa ajili ya wateja wao! Ulikuwa ni mjumuiko wa matawi yote yaliyoko Morogoro. Misa iliongozwa na Askofu Mkude.

Katika mahubiri, Askofu Mkude alionyesha kushangazwa kwake na benki kuomba misa! Inakuwaje benki waombe misa. Pia aliwashukuru kwa kumtanguliza Mungu katika shughuli zao za kibenki na kuwaasa wafanye kazi kazi zao kwa uadilifu. Na hatimae CRDB bank wakatoa vipaji wakiwa ndani ya T-Shirts zao za CRDB Family Day.
Wakati wa kutoa Vote of Thanks, mwakilishi wa benki alieleza kuwa wameomba misa kumshukuru Mungu kwa kuwa benki bora kwa mwaka huu na kwashukuru wateja wao kwa kuwasupport. Na kwamba walikuja kanisani kwa "umoja wao" bila kujali itikadi ya dini zao!
Wasiwasi wangu: Kwa mwenendo huu tutatarajie nini kwenye nyumba zetu za ibada? Je, Yesu hakupindua pindua meza za watu waliokuwa wakifanya biashara katika sinagogi? Ninavyoona (kwa mtazamo wangu) si ajabu siku zijazo tutakuwa tukisikia kuwa Misa ya Kwanza imedhaminiwa na ya Tigo, Misa ya pili NMB na misa ya watoto NBC Ltd!
Waumini tunayapeleka wapi makanisa haya? Je, CRDB watadhubutu kwenda msikitini pia kuwashukuru Waislamu kwa kuwa wateja wao kwa "umoja" wao bila kujali itikadi zao kama walivyofanya Morogoro katika kanisa Katoliki?
Nawasilisha.

haukuelewa...na ulifanya kosa kutouliza palepale au baada ya misa! pole.
 
haukuelewa...na ulifanya kosa kutouliza palepale au baada ya misa! pole.
Mkuu unaweza kuliweka sawa jambo hili? Nahisi kuna upotoshaji mkubwa katika hili la crdb kuomba/kufanya misa ya shukrani.
 
Hakuna tatizo kabisa kwa mtazamo wangu,
Nawapongeza hao kwa kumkumbuka Mungu wa Kweli kwenye biashara zao,
CRDB ina wafanyakazi ambao wana imani tofauti lakini waliamua kwenda kanisani kushukuru kwa Mungu wa kweli, wanastahili pongezi
 
Back
Top Bottom