maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
Hii bank nadhani kwa sasa wanabweteka sana hawajali tena wateja wao. Imagine wateja 8 tu wanahudumiwa masaa matatu kwenye huduma za kutoa/kuweka pesa dirishani, hivi mnaajiili vilaza au?
Na kama mnajua mnaajili vilaza si muwajaze kwenye counter zote ili wasaidiane angalau tupate huduma haraka? Sasa mnaweka tellers wawili tu kuhudumia wakati madirisha mengine yapo na mnajua they are incompetent. How do you assess their performance?
Hii haikubaliki aisee, na siwezi kaa kimya pamoja na kwamba nawahama.
Na kama mnajua mnaajili vilaza si muwajaze kwenye counter zote ili wasaidiane angalau tupate huduma haraka? Sasa mnaweka tellers wawili tu kuhudumia wakati madirisha mengine yapo na mnajua they are incompetent. How do you assess their performance?
Hii haikubaliki aisee, na siwezi kaa kimya pamoja na kwamba nawahama.