mriringa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 783
- 835
Nianze kwa kuwasalimia wapendwa wangu wa jamii forums kwa kuwapa pole na majukumu ya hapa na pale kwaani bila kuhangaika na kujishughulisha basi unakuwa mzigo kwa taifa na kwa familia yako kama sio kwa jamii.
Wakati naajiriwa nilifanya tafiti naweza kusema mbaya kwa vile niliangalia sababu moja pekee ya kwanini nijiunge na CRDB na sio bank nyingine na ndio bank niliyotumia wakati wote wa masomo yangu.
Niseme tu kwamba CRDB wateja wenu mmewapa mzigo mzito kwaani makato yenu sasa ni maumivu kwa wateja na yanatutesa kupita kiasi na hadi sasa nipo njiani kimawazo katika kuhama bank yenu na nijiunge hata na NMB kwaani wizi tunaofanyiwa yatosha kusema haufai kwa taasisi yoyote ambayo kwao mteja ni mfalme.
Mwezi uliopita bahati nzuri au mbaya kwa yaliyonikuta sikuchukua mshahara wangu nikiwa na maana sikutoa fedha zangu za mshahara lakini jana nikaomba taarifa ya akaunti yangu hakika nimepata hasira mbaya moyoni mwangu na ya kusikitisha sana. Akaunti yangu kwa mwezi 12/2020na 1/2021 nimekatwa sh 52,000 eti fedha za makato ya kuendesha bank, na tarehe 19.01.2021 nimekatwa 15,000 kwa wakati mmoja hakika mnatuibia sana enyi makaburu weusi.
Hivi kwanini mjiangalie nyinyi tu na msituangalie hata sisi akina bora kunakucha and days goes?? Je makato haya yanatija kwa mteja wenu?? Na je kama mteja hana fedha kwenye akaunti mnaendeshaje bank??
Maamzi yangu ni kwamba kama sitawahama on the sport basi fedha zangu nitazitunza kwenye simu na sio bank. Mshahara ukitoka nawaachia 10,000 pekee ya kutunzia akaunti ambayo ipo kisheria kwa hiyo bank yenu ya makaburu weusi maana huenda mnapoziona pesa kwenye akaunti mnawashwa na kuzichukua kwa vile mimi ni maskini na sauti yangu haifiki Ikulu. Ila mteja ni malme itoshe tu kusema hivyo.
Ila mwisho wa yote Mungu hapendezwi na huo wizi maana hakuna chenye mwanzo huwa hakikosi mwisho.
Wakati naajiriwa nilifanya tafiti naweza kusema mbaya kwa vile niliangalia sababu moja pekee ya kwanini nijiunge na CRDB na sio bank nyingine na ndio bank niliyotumia wakati wote wa masomo yangu.
Niseme tu kwamba CRDB wateja wenu mmewapa mzigo mzito kwaani makato yenu sasa ni maumivu kwa wateja na yanatutesa kupita kiasi na hadi sasa nipo njiani kimawazo katika kuhama bank yenu na nijiunge hata na NMB kwaani wizi tunaofanyiwa yatosha kusema haufai kwa taasisi yoyote ambayo kwao mteja ni mfalme.
Mwezi uliopita bahati nzuri au mbaya kwa yaliyonikuta sikuchukua mshahara wangu nikiwa na maana sikutoa fedha zangu za mshahara lakini jana nikaomba taarifa ya akaunti yangu hakika nimepata hasira mbaya moyoni mwangu na ya kusikitisha sana. Akaunti yangu kwa mwezi 12/2020na 1/2021 nimekatwa sh 52,000 eti fedha za makato ya kuendesha bank, na tarehe 19.01.2021 nimekatwa 15,000 kwa wakati mmoja hakika mnatuibia sana enyi makaburu weusi.
Hivi kwanini mjiangalie nyinyi tu na msituangalie hata sisi akina bora kunakucha and days goes?? Je makato haya yanatija kwa mteja wenu?? Na je kama mteja hana fedha kwenye akaunti mnaendeshaje bank??
Maamzi yangu ni kwamba kama sitawahama on the sport basi fedha zangu nitazitunza kwenye simu na sio bank. Mshahara ukitoka nawaachia 10,000 pekee ya kutunzia akaunti ambayo ipo kisheria kwa hiyo bank yenu ya makaburu weusi maana huenda mnapoziona pesa kwenye akaunti mnawashwa na kuzichukua kwa vile mimi ni maskini na sauti yangu haifiki Ikulu. Ila mteja ni malme itoshe tu kusema hivyo.
Ila mwisho wa yote Mungu hapendezwi na huo wizi maana hakuna chenye mwanzo huwa hakikosi mwisho.