Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
Wadau hivi crdb wamesema mwisho wa ku update account yako ni lin
Duh miezi sita?? au ndio kama zile mambo za analogy na digital kila siku kuongeza siku????Ilikuwa mwisho leo ila nimesikia wameongeza miezi 6, hizi banks haziko serious
na mimi hiki kitu kinanitatiza mwaka jana nimeupdate mwaka huu tena tasikiaa na mwakani.,nahiai wameona mwitiko wa watu sio mkubwa wameona waongeze sikumm najua accounts zazaman ndo wanafunga sasa kama mm niliupdate mwaka jana will i have to do it again