Crazy things you did in secondary school

Form One wengi walikuwa wametoka vijijini hasa hasa vya kulenga huko hakuna.

Pia wengine walikuwa wametoka MIJINI ambako hakuna vya kulenga.

Pana wakati baada ya kuishi sana Nchi za watu, nilikwenda Uturuki mjini Istanbul.

Kufika Airport Ataturk, tukaenda kupanda ndege kwenda Mikoani kwenye uwanja wa Domestic.

Kufika pale nikaona vyoo vya kuchuchumaa, nilicheka sana. Ila hata Dubai vipo.
 
Sec raha bwana nakumbuka mshkaji alikuwa kasimama na msichana anapanga mambo yake, nikapita karibu yao na kumgusa mbavu kama kumtekenya jamaa akaachia upepo yaani aibu alinifukuzaje
 
Ahahahahahhahahahahahahhahahajajajajhajaha
 
Ha ha ha ha ha umetisha mkuu
 
Kuna mkurya mmoja wa kuitwa chacha tupo bafuni tunaoga kwa kawaida unatakiwa bodi(makalio)yawe ukutani sasa jamaa kajichanganya bodi kaliacha penye korido so kainama anajisugua huku kajipaka sabuni usoni kuna mshkaji wangu kaona huu upuuzi si akaenda kumgusa kwa kidole jirani ya tigo.

Jamaa akastuka na kujifuta sabuni kuangalia nyuma akamkuta jamaa yangu kaushika mpini wake yule chacha kwa hesabu za haraka akajua kagusishiwa mpini dah walitoana nje uchi mbio jamaa kaenda kumkamatia DH mbaya zaidi ilikuwa mida ya lunch mademu kibao.subiri part 2.
 
Hahaha duh hiyo trial hatari kabisaa

Haya malizia part 2
 
Mkuu sijui bado upo...kwenye jukwaa...? Kwakwel hii post na ya jamaa wa vita ya Kagera ni vitu ambvyo uwa vnaniondlea stress dah....shule raha bhana....
 
Ha ha ha bila shaka unaijua hii mito mkuu, kala na kipwela pia vitafunwa ni vibama
 
Ila tulikuwa na ujasiri wa ajabu. Hizo heater ukiziangalia namna zilivyo zingeweza kuunguza mabweni kabisa
 
Mi nakumbuka primary bhana... n'na peni nyingii lakini zote za kuiba! Enzi hizo peni deal... ukiiba tu, fasta unaenda kuifikia kwenye mchanga manake unajua mwenyewe akishituka tu, wa kwanza kukaguliwa ni wezi maarufu wa peni darasani! Wakija kukukagua, holaa kumbe kitu kime-rest in sand!

Soo likitulia, hatua inayofuata ni kunyonya wino kuhamishia kwenye peni nyingine! Sometimes usipokuwa smart, unakuta peni imejaa wino hadi unachungulia-- wino wa peni tatu kwenye peni moja wapi na wapi!

Kama huna peni ya kuhamishia wino, bado sio issue! Natafuna bomba tu... la ndani(mrija) na la nje. Ukishamaliza bomba la nje unalisugua kwenye sementi-- kudadadeki, hata kama peni ilikuwa mpya inaonekana ya zamaaani!

Sema, kama uliyempiga ni mbishi mwenzako hapo hesabu atakuwa anakulia mingo tu.... ukitoka nje anakufuata nyuma nyuma manake keshakuhisi unafuata mzigo wake! Asipokufuata nyuma nyuma basi anakulia timing hadi unarudi! Unashangaa ile unarudi tu, jamaa hawa hapa wanataka wakupige search mara ya pili! Ndo pale unakuta umesachiwa mara ya kwanza ulikuwa na peni 4 lakini mara ya pili; mara eh... una peni 5! Kama alikuwa hakuzikariri lazima apate shida kufahamu yake hasa ni ipi manake ilisha-undergo evolution!

Nishakwiba sana peni no wonder passion yangu ni kuandika!
 
Nilianzishaga kamali shuleni,kwa kuanza kucheza tshs 50 na rafiki yangu badaye wanafunzi wengi wakajiunga tukawa tunacheza kwa group la watu 10-15 kwa elf 2 mbili kisha kugawana baada ya kubakia wawili.

Siku zikaenda watu wakanogewa watu prepo wakawa hawakeendi, siku moja second master kabamba watu,kila mtu akaambia aindike mwanzilishi na washiriki 10 jina langu liliandika mara 2 mbili na kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…