Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,590
- 25,707
Iringa yupo Mzee ana mitambo na crane za kubeba vitu vizito yaani tani 26 ndio crane itoke nje? huko migodini crane zao za kubeba vitu vizito zinatoka nje?
Bunge la Mazuzu.Huyu jamaa huwa anaelewaga anachoongea kweli yan na wabunge wote wamekaaa tu wamerizika na majibu yake
ila Bibi anasubiri MUNGU ashuke amwambie Tumbua hii kituKamdanganya Hadi boss wake Samia.
Angekuwa magufuli ameshatumbua zamani
Kumbe ni kijeba, pesa inafanya aitwe kijanaJamaa ana miaka 47 lakini anaitwa kijana, unabaki kushangaa WTF!
Jamaa kataka kutudanganya WaTz milioni 60, na wengine ambao hatujui tulishamwamini huyo boya, kumbe wapo wanajua hivyo vitu.., sijui wanatuonaje WaTzNi upigaji kila kona aiseeee.
Unatumia nguvu nyingi kwa jambo jepesi......MILANGO YA BWAWA LA UMEME, TANI 26, KUKODI WICHI TOKA NJE, NIKUTUPIGA WATZ NA KITU KIZITO
Watu wengi wameonekana kushangazwa na maelezo ya Waziri wa sekta husika baada ya kujibu hoja mbungeni kuhusu maendeleo ya mradi wa bwawa la umeme Lililopo kati ya Rufiki na Morogoro.
Ambapo Waziri alisema, Hatua ya kwanza ya kujenga ukuta imeishafanyika isipokuwa hatua ya pili ambayo nikuweka MILANGO YA CHUMBA YENYE TANI 26 ndiyo bado haijakamilika kwa sababu INASUBIRIWA CRANE (WICHI) YA KUKODI TOKA NJE YA NCHI KWA AJILI YA KUJA KUSETI HIYO MILANGO.
WAZIRI kama umeambiwa basi maelezo uliyoambiwa na unayotakiwa kuyatoa kwa umma wa Watanzania yalitaliwa kuwa na ufafanuzi mzuri na wenye kueleweka.
Haiwezekani Crane zilizoko ndani ya mradi wa umeme zishindwe kubeba mzigo wa tani 26. Wakati Crane ZILIZOKO KWENYE MRADI ZIKO ZENYE KUBEBA TANI 25, 50, 60, 90, 120 NA HATA 200
Waziri CRANE ILIYOPO KWENYE MRADI WA UMEME AINA YA XCMG (Total Mass: 36000 Kg Ukichomoa Boom Angle ya Lenght 10.3 na boom ikawa kwenye mlalo wa Mita 4 INAWEZA KUBEBA TANI 43.5, 53 na TANI 55 ILA ITAWAKA ALAMA YA NJANO KUONESHA NI HATARI
Crane XCMG 36000 Kg ikiwa na Counter weight 7.6 boom ikawa Mlalo wa 20.6 na radius ya Mita 3, Crane hii INAWEZA KUBEBA MZIGI TANI 26.0 HADI 27.6.
Hii CRANE ya kusubiriwa kutoka nje ya nchi ina uwezo gani wa ziada kuzidi crane zilizoko ndani ya mradi au ina maajabu yapi kuliko crane zilizopo.
Hii CRANE inayosubiriwa toka nje ni ya nani na inakodiwa dola ngapi kwa saa na itatumia siku ngapi?
Hii CRANE toka nje, itakuwa inaweza kubeba tani 26 na inaizidi vipi CRANE XCMG 56000 KG yenye kuweza kubeba tani 90.
Hii CRANE YA KUKODIWA ina maana inaizidi LIBBER CRANE ambayo inaweza kubeba TANI KATI YA 50, 90 na 120.
CRANE HII TOKA NJE INAIZIDI CRANE AMBAYO IKO KWENYE MRADI NA INAWEZA KUBEBA TANI 200 mbona kama nikuwapiga Watanzania na kitu kizito.
CRANE Toka nje inazizidi uwezo Crane Tower zote zilizoko kwa Mchina, Mwarabu, AFFCO na zinginezo, Hapana Mh, Waziri maelezo hayawaridhisha Watanzania.
Watanzania wa sasa wameishaelimika na wanahitaji ufafanuzi yakinifu ili kuwaridhishView attachment 2014320
Mkuu hoja ya mh.waziri Makamba inapotoshwa sana.....Jamaa kataka kutudanganya WaTz milioni 60, na wengine ambao hatujui tulishamwamini huyo boya, kumbe wapo wanajua hivyo vitu.., sijui wanatuonaje WaTz
Isije ikawa zuzu ni wewe🤣🤣Bunge la Mazuzu.
So za kupachikwa palepale zinakodiwajeIsije ikawa zuzu ni wewe
Mh.Waziri Makamba ameongelea kuhusu CRANES immovable za kupachikwa palepale.....wagaigai mnaropoka tu
Kwani Waziri ndiye mhandisi ?!!So za kupachikwa palepale zinakodiwaje
One zuzu jingine hili
Kale buku5 maana akili unaachaga getiniKwani Waziri ndiye mhandisi ?!!
Ungekuwa mweledi usingeshindwa kujua kuwa wale ARAB CONTACTORS wana sub-contractors wa kumwaga tu pale.....hao ndio wahusika....Waziri anaingia tu katika ufafanuzi wa kwanini kuna kusuasua kwa kazi.......
Immovable halafu za kukodi, sivyo?Unatumia nguvu nyingi kwa jambo jepesi......
CRANES zinazosubiriwa ni zile IMMOVABLE na si hizo upigiazo kelele.......
Siempre JMT
Zinapachikwa hapo hapo halafu zinakodishwa au sio?Mkuu hoja ya mh.waziri Makamba inapotoshwa sana.....
Hoja yake ni kuzisubiri CRANES ambazo ni IMMOVABLE....za kupachikwa palepale na si hizo zilizopo.......
Tatizo letu kila Jambo tunalifanya ukosoaji wa kisiasa......🤣🤣
Ndio maana mbowe haambiwagwi mzeeUzee ni fikra tuu mkuu,ukiamua kuwa mzee hata ukiwa na miaka 20 unakuwa mzee....umiamua kuwa kijana hata kama una 50 ni wewe tuu..
Si unaona Mishell Obama mkuu