W wakurochi JF-Expert Member Dec 4, 2017 2,647 2,946 Nov 2, 2019 #1 Team C R vipi. Mambo ya kusubiri pass ya kumalizia leo yanakwama kwa CR.Torino sio mchezo. Na penat ya wazi Juv wamebebwa na ref
Team C R vipi. Mambo ya kusubiri pass ya kumalizia leo yanakwama kwa CR.Torino sio mchezo. Na penat ya wazi Juv wamebebwa na ref
Vhagar JF-Expert Member Jun 8, 2015 20,027 38,860 Nov 2, 2019 #3 Hivi huu ni uzi umeanzisha au ulikuwa una comment?
Joanah JF-Expert Member Aug 14, 2016 21,138 73,898 Nov 2, 2019 #6 Mpira ndiyo kwanza HT...ungevumilia kidogo mpira uishe Japo kiukweli nyota ya CR7 sio kali kama ilivyokuwa
Mpira ndiyo kwanza HT...ungevumilia kidogo mpira uishe Japo kiukweli nyota ya CR7 sio kali kama ilivyokuwa
Mr.Junior JF-Expert Member Sep 8, 2013 11,861 10,144 Nov 3, 2019 #8 ".........Mnasahau andunje kaisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono"