CPWAA anatumia mkorogo??? Umaurufu wa Bongo Bwana

yaaani..mtu asisafiri kidogo akabadilishwa na hali ya hewa ya huko,baasi ishakuwa formula kuwa ni mkorogo...khaa!! Wala hana u-cameroon..ukitaka kuamini mlengeshee girlfriend wako au dada yako uone...

we wa wapi wewe,,, aliyekuambia hawa wenzetu wote hawafanyi kazi nani? Wengine wameoa na bado wanafanyiwa uanglikana....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…