CPA

tycun

Member
Dec 16, 2011
52
11
Naitaji msaada mm nlimalza chuo mwaka 2014 ni bach ya banking n finance.. Naezaje jiunga n CPA mitian ya board.
 
Naitaji msaada mm nlimalza chuo mwaka 2014 ni bach ya banking n finance.. Naezaje jiunga n CPA mitian ya board.
Mkuu wewe ni mkongwe sana humu jukwaani na ni muhitimu wa Chuo kikuu, ila umeniangusha kwenye uandishi wako ambao hauko fasaha.

Kila la kheri!
 
Mkuu wewe ni mkongwe sana humu jukwaani na ni muhitimu wa Chuo kikuu, ila umeniangusha kwenye uandishi wako ambao hauko fasaha.

Kila la kheri!
Nikwel mkuu ila naitaji utaratibu nianzie wap?
 
Nikwel mkuu ila naitaji utaratibu nianzie wap?
Sina ABC ya hicho kitu.

Kabla tunasubiri wadau wanaojua waje kuelekeza, anzia pia huko mtaani kuuliza kwa wenye fani hizo waweza bahati kuelekezwa
 
Naitaji msaada mm nlimalza chuo mwaka 2014 ni bach ya banking n finance.. Naezaje jiunga n CPA mitian ya board.
Utaanza level ya Pili inaitwa foundation , ukimaliza utafanya intermediate na mwisho ni final jiandae kuchoka akili na Mali pia,kila lakheri
 
Back
Top Bottom