Sasa kwani mimi niliandikaje Mkuu?
Rudi tena kunisoma utanielewa. Nisome kwenye #5 na pia conclusion yangu #16 utanielewa. By the way nilivyoandika Intermediate nikaelezea ni Module A ulitakiwa uelewe nazungumzia utaratibu wa Zamani. Sasa mbona umechukua tu neno Intermediate ku conclude kua sio sawa but ukaacha "Module A" iliyoko kwenye mabano?
Anyway, huu ulikua mfano jins Exemptions zinavyofanyikaga.