pilot Joseph
Member
- Jan 11, 2018
- 83
- 25
Naomba kufahamu CPA(Certified Public Accountant) ni level gani ya elimu? Baada ya kuhitimu unahesabika una Master's au Bachelor?
Maana nimeona baadhi ya Vyuo vya vinavyotoa Master's entry qualifications wanasema Bachelor degree with GPA3 or above or CPA holder.Naomba kufahamu CPA(Certified Public Accountant) ni level gani ya elimu? Baada ya kuhitimu unahesabika una Master's au Bachelor?
Kwahiyo ni bachelorMaana nimeona baadhi ya Vyuo vya vinavyotoa Master's entry qualifications wanasema Bachelor degree with GPA3 or above or CPA holder.
CPA ni kuwa certified professional na unakuwa chini ya Board ya Uhasibu kwa maana nyingine zaidi ya Bachelor degree ndio maana mwenye Bachelor degree ya Uhasibu lazima asome CPA Tena ndio awe professional.
Mfano kwa wana Sheria lazima aende Law School ili awe wakili.
Kwa ufahamu wangu umeishia hapo.
Sio sawa na Bachelor,Kwahiyo ni bachelor
Vipi ajira zake ni rahisi kupata au ngumu kufanikisha?Sio sawa na Bachelor,
Na wala sio lazima uwe na Bachelor kama qualification ndio usome hiyo. Unaweza ukawa na CPA na huna Certificate, Diploma wala Bachelor yoyote.
Ukipitia njia hii,
Foundation Stages > (Atec 1&2)
Intermediary Stages (Module A, B, C &D)
Then Final Stages (Module E &F),
Hapa tayar una CPA. Hii ilikua miaka 5 nyuma, sina taarifa za sasa kwan nishatoka huko.
Ila kitu kimoja ni kwamba kwa Muajiri CPA inakuaminisha zaidi kama mhasibu kuliko Bachelor au Advanced Diploma ya Account. Professionally CPA ni kubwa wakati Academically Masters ya Finance ni kubwa.
Mwenye CPA ni mhasibu au mkaguzi. Kibongo bongo huwezi kufa njaa, ila kama ndo kwanza umepata sio guarantee sana, maana wengi wanazo now days. Cha msingi ukiipata na kama we ni graduate usichague kazi.Vipi ajira zake ni rahisi kupata au ngumu kufanikisha?
AsanteMwenye CPA ni mhasibu au mkaguzi. Kibongo bongo huwezi kufa njaa, ila kama ndo kwanza umepata sio guarantee sana, maana wengi wanazo now days. Cha msingi ukiipata na kama we ni graduate usichague kazi.
Vyuo gani wanatoa CPA?Mwenye CPA ni mhasibu au mkaguzi. Kibongo bongo huwezi kufa njaa, ila kama ndo kwanza umepata sio guarantee sana, maana wengi wanazo now days. Cha msingi ukiipata na kama we ni graduate usichague kazi.
Duh,Vyuo gani wanatoa CPA?
Centres zipi kwa Moro au Dar wanatoa review classes?Duh,
CPA huipati vyuoni, ni kwenye centres. Infact kuna baadhi ya vyuo silabas yake ya mwaka wa mwisho ni almost masomo yale ya CPA hivyo kama unazingatia darasan basi unaweza "kutoboa". Ila kwa kozi za uhasibu tu.
By the way hata masomo au madarasa yake huitwa "Review Classes" kwa maana ya kwamba hurudia yale yale tu ya darasani (chuoni), na sio silabas (mtaala mpya).
Kwa Moro sina uhakika, sio mwenyeji huo Mkoa,Centres zipi kwa Moro au Dar wanatoa review classes?
Check PMKwa Moro sina uhakika, sio mwenyeji huo Mkoa,
Ila Kwa Dar Ungeenda pale NBAA,mkabala na Maktaba Kuu au Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima.
NBAA ndio wanaoratibu mitihani ya CPA na ndio wanaotoa vyeti, ukiuliza uliza hapo, hutokosa. Enzi zetu pale alikuwepo Mzee Mmoja aliitwa MUSASIRA, alikua maarufu kidogo kwa hizi Reviews na taasisi (Centre) yake iliitwa APT Financial Services.
Kuna Mwengine aliitwa Rashid, alikuwepo pale Ilala/Karume, kuna shule ya msingi iliyoko pembeni kwa Mkuu wa Mkoa. Kuna wajamaa wengine walikuwepo pale ukitoka Faya, mbele ya jengo la UVCCM kuna jengo lilikua likiitwa Jaffery Complex kabla ya DIT.
Daaah mkuu unaelezea vuzur an duuh big up!! Sorry namimi Nina swali hapo mfano level ya foundation or hata intermediate hua mtu unachukua mda gan mpaka kumaliza level ?Mkuu kuna kitu kimoja labda nkuulize, wewe una qualification gani kwani?
Maana ninaweza nikawa nakupa habari za CPAkumbe hauko qualified.
Zile stages nlizokutajia kuanzia Foundation, Module A, B.C, D, E & F ndio proper channel za CPA.
Ila katika stages hizi unaweza kusamehewa baadhi ya stages (kua exempted) kulingana na elimu uliyofikia,
Mfano kama una diploma ya uhasibu unaweza kusamehewa foundation stages ukaanzia Intermediary Stages (Module A). Vivyo hivyo kama una Degree ya Uhasibu (au Advanced Diploma ya Uhasibu) unaweza kusamehewa Foundation na Intermediary Stages ukaanzia Final Stages (Module E & F).
Na kama una ACCA basi hata hizo E& F unaweza kufanya baadhi ya masomo tu ukapata zako CPA. Sasa wewe inabidi ujipime hapa una qualification gani hasa ili ujue ukianza kusoma hiyo CPA utaanzia wapi.
Foundation ina Stage mbili tu, ATEC 1 & 2, na mitihani ni May na November. So Mungu akikujaalia usipofeli mitihani basi hii Stage Foundation utaimaliza ndani ya mwaka mmoja.Daaah mkuu unaelezea vuzur an duuh big up!! Sorry namimi Nina swali hapo mfano level ya foundation or hata intermediate hua mtu unachukua mda gan mpaka kumaliza level ?
Mkuu umenigusa hapo kwa mwenye Diploma ya Uhasibu kuwa unaweza pewa exemption ukaanzia level ya intermediate?Mkuu kuna kitu kimoja labda nkuulize, wewe una qualification gani kwani?
Maana ninaweza nikawa nakupa habari za CPAkumbe hauko qualified.
Zile stages nlizokutajia kuanzia Foundation, Module A, B.C, D, E & F ndio proper channel za CPA.
Ila katika stages hizi unaweza kusamehewa baadhi ya stages (kua exempted) kulingana na elimu uliyofikia,
Mfano kama una diploma ya uhasibu unaweza kusamehewa foundation stages ukaanzia Intermediary Stages (Module A). Vivyo hivyo kama una Degree ya Uhasibu (au Advanced Diploma ya Uhasibu) unaweza kusamehewa Foundation na Intermediary Stages ukaanzia Final Stages (Module E & F).
Na kama una ACCA basi hata hizo E& F unaweza kufanya baadhi ya masomo tu ukapata zako CPA. Sasa wewe inabidi ujipime hapa una qualification gani hasa ili ujue ukianza kusoma hiyo CPA utaanzia wapi.
Those Days Ukisema Intermediate ilikua ni Module A, B, C & D,Mkuu umenigusa hapo kwa mwenye Diploma ya Uhasibu kuwa unaweza pewa exemption ukaanzia level ya intermediate?
Sidhani kama upo sahihi
Kwa zamani ilikuwa sawa ila kwasasa Hapana kwa kweli.Those Days Ukisema Intermediate ilikua ni Module A, B, C & D,
Na Foundations ndio ilikua ATEC 1 & 2.
Ila Intermediate ya Sasa unakua unazungumzia Module C & D. Zile Module A & B zimerudi kua Foundations nazo. Wewe unasema siko sawa kwa Mwenye Diploma ya Uhasinbu kuanzia Intermediate kwa Sasa (kuanzia Module C) au hata Zamani (Kuanzia Module A) ilikua haiwezekani?
Sasa kwani mimi niliandikaje Mkuu?Kwa zamani ilikuwa sawa ila kwasasa Hapana kwa kweli.