Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga tayari mkoa huo umeshapata mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 na wengine zaidi ya wanne sampuli zao zimepelekwa Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi
DRC kuna COVID-19 ya kutosha na wako bize kweli kweli kupiga nyungu. Jee kutofungwa kwa mpaka kati yetu na Burundi pamoja na DRC kumesababisha COVID-19 kufika Kigoma!!
Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga tayari mkoa huo umeshapata mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 na wengine zaidi ya wanne sampuli zao zimepelekwa Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi
Ni uongo uongo. Ila wameanza kugunduwa hailipi. Wanafanya propaganda kwenye utangazaji maana wao ni politics everything na kwa vile ni mwaka wa uchaguzi. Wamepanic.
Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga tayari mkoa huo umeshapata mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 na wengine zaidi ya wanne sampuli zao zimepelekwa Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi