Covid-19: We need Magufuli’s inspiration not copy-cat leadership

Nana kakwambia vipimo vya Covid-19 vinahitaji damu?

Yaani pamoja na mda wote huu kupita bado tu haujapata elimu jinsi gani na wapi Corona Virus wanapatikana.

Haya ndio matokeo ya kukaa ndani kwenye lockdown, unakua huna la kujifunza, unakua zuzu kusubiri serikalivikwambie cha kufanya. .

Tofauti na wale wanao survive nje kila siku wanajifunza namna ya ku survive Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo nyie huwa wazembe sana wa kushirikisha ubongo kwenye chochote, nafahamu corona utaipata popote hadi kwenye meza, ila kama nimemuelewa rais wenu anasema sampuli za hayo mananasi zilipelekwa kisiri, sasa ninavyfahamu wale wanaopima wanaletewa damu kabisa za washukiwa wa corona, so swali langu ni kitu gani waliletewa kwenye maabara hadi wasibaini kwamba hakijatoka kwa binadamu.

Ingekua sio kisiri, wangeletewa hayo mananasi kabisa kwenye maabara, lakini hapa mnasema walipima bila kujua wanapima sampuli iliyotoka kwa binadamu.
 
Kumbe hata jinsi vipimo vinavyofanyika hujui na bado unajaribu kubishana. Wanapotumia " swab" kuchukua utando kwenye pua ili kupima Corona unadhani wanachukua damu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi ninaye binamu wangu amepimwa kwa kutumia huo utando bila damu, lakini swali langu liko pale pale mumesema ilikua upimaji wa kisiri bila ya hao kwenye maabara kujua kwamba sampuli hiyo sio ya bnadamu, sasa mananasi ulitumia kitu gani kuwahadaa hao kwenye maabara.
 
Mimi ninaye binamu wangu amepimwa kwa kutumia huo utando bila damu, lakini swali langu liko pale pale mumesema ilikua upimaji wa kisiri bila ya hao kwenye maabara kujua kwamba sampuli hiyo sio ya bnadamu, sasa mananasi ulitumia kitu gani kuwahadaa hao kwenye maabara.
Ndugu imepelekwa sampuli ya nanasi ila imepewa jina mfano John Bagu. Matokeo ya maabara yanaonesha jina John lina corona ila kimsingi sio John bali nanasi. Ni uchunguzi kama chunguzi zingine
 
Ndugu imepelekwa sampuli ya nanasi ila imepewa jina mfano John Bagu. Matokeo ya maabara yanaonesha jina John lina corona ila kimsingi sio John bali nanasi. Ni uchunguzi kama chunguzi zingine
Kama kweli basi kuna uzembe mkubwa sana kwenye maabara yenu, kunao itasemekana wana Corona na hawana na wengine isemekane hawana na wanalo.

Wabongo mnapenda mdebwedo sana acheni uzembe wa kihivyo. Bado natamani kujua sample ya mananasi iliumikaje bila ya wahudumu kujua hii sio ya binadamu.
 
Mimi ninaye binamu wangu amepimwa kwa kutumia huo utando bila damu, lakini swali langu liko pale pale mumesema ilikua upimaji wa kisiri bila ya hao kwenye maabara kujua kwamba sampuli hiyo sio ya bnadamu, sasa mananasi ulitumia kitu gani kuwahadaa hao kwenye maabara.
Damu inapochukuliwa huwa inatenganishwa kati ya chembe chembe za damu na maji ya damu yaani "serum". Haya maji ya damu hayatofautiani na majimaji mengine yoyote yale, labda kidogo sana kwa rangi na " density".

Lakini lengo kuu ni kuharibu kujua kama vipimo vinavyofanyika vipo sahihi au hapana. Ndio sababu Serikali iliwaficha hao wapimaji kujua ni majimaji yapi yametoka kwa binadamu, mnyama au matunda, ili kuepuka udanganyifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli basi kuna uzembe mkubwa sana kwenye maabara yenu, kunao itasemekana wana Corona na hawana na wengine isemekane hawana na wanalo.
Wabongo mnapenda mdebwedo sana acheni uzembe wa kihivyo.

Bado natamani kujua sample ya mananasi iliumikaje bila ya wahudumu kujua hii sio ya binadamu.
Kama umemsikiliza Magufuli vizuri sana, amesema wazi kwamba huenda tatizo lipo kwa wapimaji wenyewe au vifaa vinavyotumika.

Amemuagiza waziri mpya WA sheria kuchunguza kama tatizo ni watu na wanafanya hujuma, basi wachukuliwe hatua za kisheria.

Lakini ameiomba WHO ifanye upelelezi juu ya hivi vifaa vinavyotumika kupimia Covid, pia ameziomba nchi zingine kufuatilia katika maabara zao kuona kama nao pia watapata matokeo kama hayo aliyoyapata yeye.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Damu gani wewe, hivi unaishi dunia gani?
Tatizo nyie huwa wazembe sana wa kushirikisha ubongo kwenye chochote, nafahamu corona utaipata popote hadi kwenye meza, ila kama nimemuelewa rais wenu anasema sampuli za hayo mananasi zilipelekwa kisiri, sasa ninavyfahamu wale wanaopima wanaletewa damu kabisa za washukiwa wa corona, so swali langu ni kitu gani waliletewa kwenye maabara hadi wasibaini kwamba hakijatoka kwa binadamu.
Ingekua sio kisiri, wangeletewa hayo mananasi kabisa kwenye maabara, lakini hapa mnasema walipima bila kujua wanapima sampuli iliyotoka kwa binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka Rais JPM last week alifanya kikao cha viongozi wakuu wa vyombo vya usalama. Katika kikao hicho pia alifanya mabadiliko ktk Wizara ya afya kwa kuteua PS mpya.

Inawezaka kuwa moja ya ajenda ilikua ni kutumia intelligence agencies kujua no namna gani vifaa na vipimo vinavyotumiwa na maabara kuu vinafanya kazi.

Kujua ni namna gani issues za False negatives na False positives zinavyo kuwa handled.

Matokeo ndio hayo umesikia.

Kuna uwezekano mkubwa sana matokeo ya vipimo ktk nchi nyingi za Afrika yakawa na walakini, too big margin of errors.

Vifaa vyenyewe vingi vinavyotumika Afrika na duniani vinatoka China.

Kazi ipo, Mchiba anetushika pabaya.
Mimi ninaye binamu wangu amepimwa kwa kutumia huo utando bila damu, lakini swali langu liko pale pale mumesema ilikua upimaji wa kisiri bila ya hao kwenye maabara kujua kwamba sampuli hiyo sio ya bnadamu, sasa mananasi ulitumia kitu gani kuwahadaa hao kwenye maabara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli basi kuna uzembe mkubwa sana kwenye maabara yenu, kunao itasemekana wana Corona na hawana na wengine isemekane hawana na wanalo.
Wabongo mnapenda mdebwedo sana acheni uzembe wa kihivyo.

Bado natamani kujua sample ya mananasi iliumikaje bila ya wahudumu kujua hii sio ya binadamu.
Kuna mashaka na hizo testing kits hapo hawa wachina mavifaa yao ndio maana hata india wamewagomea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani!! Jamaa ametoa yake. Sioni sababu ya kumkejeli.
Mimi nipo SA sasahivi. Jamani lockdown mbaya. Na nafikiri hii lockdown is a one way ticket to economic failure ya hii nchi.

Mawazo yangu ni kwamba. Have mass testing. Isolate positive people. Exercise physical distancing. Take as much precautions as possible and NEVER LOCKDOWN THE COUNTRY!!!

Huku SA maandamano, vandalism kila siku. Mnajua kwa nini serikali inalift lockdown hata kwamba the infection numbers are going up?? Sababu there will be social chaos very soon. People's savings are ending what do you think they are going to do next!?
Just look at Lebanon for example.

Lastly wakenya u should start respecting the sovereignty of Tanzania. Majority of Tanzanians are behind their president. Jamii forum members don't even make 0.5% of all Tanzanians. No everything you think is right the Tanzanians should take it as right too. HAVE SOME RESPECT PLEASE! !!

There are a lot of things I don't agree with president but still I would vote for him and support him. Kwa sasa sioni mtu yoyote with even half the balls he's got.

MUNGU IBARIKI TANZANIA! MUNGU TUEPUSHE NA UTUKINGE NA JANGA HILI LA KORONA. KORONA INAUA! !

Kama waswahili wanavyopenda kusema " watasema sana, mwisho watachoka"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We
Hizi ID mpya zimekuja kwa kasi sana sijui nini kimetokea, Mimi ni mtanzania lakini lazima niseme ukweli HAPA UMEANDIKA UPUMBAVU.
Wewe siyo mtanzcania, labda ni mtanzania kibaraka wa mabeberu!!
Haiingii akilini mtu alilie total lockdown wakati walioifanya haijawasaidia na wameamua kuachana nayo japo maambukizi mapya na vifo vipya bado viko juu!! Marekani kwa mfano, maambukizi mapya ni zaidi ya 20,000 na vifo zaidi ya 1,500 kila siku!
 
Rais Magufuli ni mtu anayesimamia maslahi ya nchi yake bila kujali wengine wanasemaje! Bahati mbaya tu kwamba tumempata kwa kuchelewa! Kama huyu ndiye angemrithi Nyerere, sasa hivi tungekuwa mbali sana!! Jamaa anachapa kazi ile mbaya!! Mafisadi hawafurukuti!! Wewe ukiona mtanzania anamponda ujue fisadi huyo!
Lakini Watanzania walio wengi tunamshukuru Mungu kwa kutupa Rais mcha Mungu anayeipenda kwa dhati nchi yake!!
 
Halaiser,
Wewe haikosi ni kibaraka wa mabeberu au fisadi! Mafisadi wanamchukia Magufuli sana!! Amewakatia mirija!! Watanzania tulio wengi tunampenda sana Magufuli. Mabeberu wsnamchukia sana
 
Kama kweli basi kuna uzembe mkubwa sana kwenye maabara yenu, kunao itasemekana wana Corona na hawana na wengine isemekane hawana na wanalo.
Wabongo mnapenda mdebwedo sana acheni uzembe wa kihivyo.....
Bado natamani kujua sample ya mananasi iliumikaje bila ya wahudumu kujua hii sio ya binadamu.
Sample huwa inapatikana kwa kuchovya au kukwangua kwa kutumia kijiti chenye pamba (kama q tips vile). Sasa kwa kuangalia tuu huwezi kujua kama kijiti kina mate, ute au utomvu wa mgomba, hivyo uwezekano wa kit hizi kuwa kanjanja ni mkubwa.
 
Sample huwa inapatikana kwa kuchovya au kukwangua kwa kutumia kijiti chenye pamba (kama q tips vile). Sasa kwa kuangalia tuu huwezi kujua kama kijiti kina mate, ute au utomvu wa mgomba.
Hivi hajiulizi kwanini tunavaa masks na kuziba mdomo wakati wa kukohoa au kupiga chafya 😂
 
Sample huwa inapatikana kwa kuchovya au kukwangua kwa kutumia kijiti chenye pamba (kama q tips vile). Sasa kwa kuangalia tuu huwezi kujua kama kijiti kina mate, ute au utomvu wa mgomba, hivyo uwezekano wa kit hizi kuwa kanjanja ni mkubwa.

Sijui kwanini inawachukua muda mwingi kuelewa swali langu, hehehe Wabongo hivi shule zenu huwa mnasoma vipi, natamani sana nihudhurie darasa la Kibongo nijichekee. Hata wewe jamaa ambaye huwa unajinadi kuishi Marekani.

Ni kweli sote tunafahamu Corona inapatikana popote hata kwenye nguo, hilo sina ubishi nalo. Binafsi mimi sio mtaalam lakini nimetafiti vya kutosha na kufahamu mengi kuhusu hiki kirusi kiasi cha kutojikanganya.

Swali langu bado lipo pale pale, wataalam wa maabara walishindwa vipi kubaini sample ya oil ya gari na kuipitisha tu hivi hivi kwamba imetoka kwa binadamu.

Hata hivyo kuna mtaalam naona ameeleza kivingine na inaleta mantiki.

2388244_tapatalk_1588517101626.jpg
 
Swali langu bado lipo pale pale, wataalam wa maabara walishindwa vipi kubaini sample ya oil ya gari na kuipitisha tu hivi hivi kwamba imetoka kwa binadamu.
Hata hivyo kuna mtaalam naona ameeleza kivingine na inaleta mantiki...
Maabara zote zinafuata utaratibu uliowekwa na WHO, wao ndiyo walioupa ugonjwa huo jina la covid-19, wakulaumiwa ni wao. Vipimo vikiletwa hawapimi kama kuna mafuta au kiasi cha zebaki, wao wanaangalia vinasaba vya corona tuu. Kumbuka vitengo hivi vya maabara hawajaribu kutafuta aina ya ugonjwa, wao teyari wanajua ugonjwa unaopimwa.

Screenshot_2020-05-04 Wataalam kupitia JF tunaomba mjibu hoja za Rais ni wapi amepatia au amek...png
 
Maabara zote zinafuata utaratibu uliowekwa na WHO, wao ndiyo walioupa ugonjwa huo jina la covid-19, wakulaumiwa ni wao. Vipimo vikiletwa hawapimi kama kuna mafuta au kiasi cha zebaki, wao wanaangalia vinasaba vya corona tuu. Kumbuka vitengo hivi vya maabara hawajaribu kutafuta aina ya ugonjwa, wao teyari wanajua ugonjwa unaopimwa.

View attachment 1439416

Kwa sasa wacha nifuate uzi fulani huku, kuna jamaa wanaachia nondo na labda kuna cha kujifunza humo, natumai washauri wa rais wenu pia watapitia humo kujifunza kabla kwenda kumpotosha, fuata huu hapa Wataalam kupitia JF tunaomba mjibu hoja za Rais. Ni wapi amepatia au amekosea! Wataalam huu ni uwanja wenu... - JamiiForums
 
Back
Top Bottom