COVID-19: Madagascar quits WHO, calls on other African nations to do same

DJ nlikuwa namuona ndezi sasa ndio nimejua why amerudi ikulu mara mbili kwa vipindi tofauti hayo mabeberu ya WHO badala iboreshe dawa yanakataa shenzi zao
Sasa kama walichopeleka ni uchafu unataka uboreshwe kivipi? Ule ni uchafu Madagascar wananywesha wasiojielewa. Ni kama kikombe cha babu wote waliokunywa ni wajinga wa mwisho.
 
Huyo Rais wao mpumbavu na watakaomuiga ndio wapumbavu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 Mkuu, acha kutoa povu, njoo na hoja kuonyesha hicho unachokiita upumbavu kujitoa WHO

Watu wa Madagascar wanakunywa dawa na wanapona, Iweje mjinga mmoja aje kusema hawaponi na kupuuza dawa Yao?

Africa inahitaji viongozi vichwa ngumu,wasioogopa, majasiri ili kukabiliana na ukoloni mambo leo

Ikiwezekana aungwe mkono na viongozi wote Africa baada ya kujiridhisha kuwa hiyo dawa inaponyesha,

Iko namna ya kuishi baada ya Corona kuisha, Africa ijitaysrishe kuishi maisha ambayo haikuzoea
 
COVID-19: Madagascar quits WHO, calls on other African nations to do same

Madagascar President, Andry Rajoelina is calling on all African countries to quit the World Health Organization (WHO), saying Europe has bad faith towards Africa.

Andry Rajoelina says, Europe created these organizations with the will to keep Africans dependent on them. Citing the current issue, he says Africa has found a medicine against Coronavirus but Europe thinks they have a monopoly of intelligence and so they refuse to acknowledge it. With this backdrop, he invites all African Nations to quit the international organizations in order for Africa to build their organization.

“My country Madagascar leaves all the organizations tonight and I call on other African Nations to do same”, says President Andry Rajoelina.
Rais Rajoelina ni mnafiki.
Nini kinachomshinda kuifanyia utafiti dawa yake?
 
“My country Madagascar leaves all the organizations tonight and I call on other African Nations to do same”, says President Andry Rajoelina.
=============

Which organizations? IMF, WB, UNICEF, FIFA, USAID .......
Itoe hapo USAID!
 
hawa watu bomu kweli kweli

Watu wanakufa,uchumi unayumba alafu wanatuambia dawa haifai italeta shida..

Sasa jee!?? Kati ya dawa na kifo kipi bora!?
Hata kama dawa ina madhara,lakini angalau mtu ana survive kwa muda mfup

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wanataka watu wafe nyinyi mnakuja na dawa Tena third world, lengo lao Bado watu 10 mil kufa wengi wakiwa waafrika

Unadhani dawa yenu itakubalika usisahau chanjo yao mlikataa isifanyike Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika ni vilaza sana
Tunajifanya hatuwataki wazungu huku shida zetu tunazipeleka kwao
Projects zinasimama kisa wasipotoa hela
Dawa km ARV tunategea kwao
Leo wagonjwa kibao wamenasa ulaya na asia kweny hospital zao
Kampuni za ujenzi tunategemea kutok kwao
Teknolojia ktk afya, elim, mawasiliano n.k ni wao
Sasa sijui sis tuna nn cha kujivunia mbele ya hawa watu
 
Back
Top Bottom