Course zipi nzuri kwa waliosoma Arts?

Course zipi nzuri kwa waliosoma Arts?

Unapiga program nyingi ila angalia soko la ajira pia
 
Changamotooooo hapo kwa ajira zpo, PIGA BACHELOR OF HEALTH MANAGEMENT SYSTEM IPO mzumbees nionavyo mm
 
Changamotooooo hapo kwa ajira zpo, PIGA BACHELOR OF HEALTH MANAGEMENT SYSTEM IPO mzumbees nionavyo mm
kuna watu wamemaliza mwaka juzi,jana,na mwaka huu pia watahitimu na bado wako home. mi naona education iko poa alafu ajiendeleze. ila HSM now ajira ni za kutafuta
 
naona iyo ya health ni nzuri au maswala ya health record keeping au nutrition au public health ila hii sijui ina bachelor?
 
kuna watu wamemaliza mwaka juzi,jana,na mwaka huu pia watahitimu na bado wako home. mi naona education iko poa alafu ajiendeleze. ila HSM now ajira ni za kutafuta

Asante sana kwa ushauri mkuu
 
naona iyo ya health ni nzuri au maswala ya health record keeping au nutrition au public health ila hii sijui ina bachelor?

Umeeleweka vizuri mdau,asante
 
Kama huna refa soma education, si unajua hii nchi ni ya whom you know not what you know.
 
Ushaur wang kasome kitu ambacho interested nacho ww.. Swala la ajira siku hizi ni tatzo kwa course zote isipokuwa BAED..ila kam utasomea kitu ambacho unakipenda itakuwa vzuri zaid...
 
Ushaur wang kasome kitu ambacho interested nacho ww.. Swala la ajira siku hizi ni tatzo kwa course zote isipokuwa BAED..ila kam utasomea kitu ambacho unakipenda itakuwa vzuri zaid...

Asante Scot!! Nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom