Hyo kozi ni heavy kijana,, ukija hapa SUA sahau kula bata kabisa japo kozi zote hapa especially Sciences ni ngumu ila hiyo ni balaa kama ulizoea kulala masaa zaid ya 8 basi ukija huku inabidi ulale chini ya 4...
Kila kila kheri, karibu SUA but kumbuka hapa C yetu inaanza na 50+