Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
- Thread starter
- #21
mi na wangu kila siku ngumi,halafu mwanamke mwenye asha ngedere,kila jioni karibia jua linazama lazima tuonyeshe show moja ya bure
Labda ndio kinachofanya mapenzi yenu kuwa na ladha! LOL
So kwa maneno mengine ni kweli ugomvi wenu wa kwanza mlivyo uhandle umedertermine hizo nyingine zilizofuatia!