Nashauri hapa Jeshi letu la Polisi likae pembeni kama Tundu Lisu, fisadi Lowasa, Mbowe &Co. wakianzisha maandamano vipi CCM nao wakijibu kwa kuwashawishi wanachama wao pia nao wafanye maandamano kuwapinga?
Ni kipi kitatokea? Au Tundu Lisu anafikiri kwamba CCM hawana Wanachama ambao pia wanavuta bangi na kunywa viroba ambao pia wanaweza kuandamana?