EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
- Thread starter
- #21
Umesema kweli chama ni RACHEL.Hawa jamaa walikurupuka kufanya uamuzi huu na hii wamelikoroga BM atalaumiwa sana kwa kutoa pendekezo hili kama anavyo laumiwa Bilal kwa kutoa pendezo la wagombea nafasi zote kupigiwa kura za maoni na wanachama wote Na hili litawagharimu hawawezi kuwatoa/kuwafukuza hata baada siku 120 it is impossible kama hamuani ona wanavyo safishwa taratibu juu ya rushwaya rada bungeni na subiri uone wamegundua kuwa wakiondoka hawa ndiyo mwisho wa chama and this is the reality chama ni hawa jamaa wapo wengi na si watatu tu follow the list of shame according to Dr Slaa