H hans79 JF-Expert Member May 4, 2011 3,800 430 Sep 13, 2011 #81 koki said: hivi mbona kila nikitoa maoni yangu humu siyaoni baadae? au ndo mbinu za wamiliki wa jf wanazifuta kwa manufaa yao? INAUDHI!!!!! Click to expand... <br /><br /> <br /> Only,hujatulia
koki said: hivi mbona kila nikitoa maoni yangu humu siyaoni baadae? au ndo mbinu za wamiliki wa jf wanazifuta kwa manufaa yao? INAUDHI!!!!! Click to expand... <br /><br /> <br /> Only,hujatulia
Tutafika JF-Expert Member Nov 4, 2009 1,443 631 Sep 13, 2011 #82 Ni ya zamani lakini ni mpya!, Ufisadi kila kukicha mpaka watu wamekata tamaa kabisa
jebs2002 JF-Expert Member Sep 3, 2008 8,839 7,606 Sep 17, 2011 #83 "FairPlay" Ni kweli, infact inajulikana toka zamani kuwa huu mkataba una utata kama IPTL, TICTS na mingineyo mingi iliojaa rushwa. Ndio siri ya umaskini wetu na kutokuwa na maendeleo!
"FairPlay" Ni kweli, infact inajulikana toka zamani kuwa huu mkataba una utata kama IPTL, TICTS na mingineyo mingi iliojaa rushwa. Ndio siri ya umaskini wetu na kutokuwa na maendeleo!
Mahesabu JF-Expert Member Jan 27, 2008 6,016 3,975 Nov 23, 2015 #84 enyi ndugu zangu WAGENI Hii ndo ilikuwa JAMBOFORUMS Wakati huo zilikuwa zinashuka NONDO TU.....