REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 1,597
- 5,562
How do you know that, are you this stupid?
sio mimi niliochagua hapa 👇
View attachment 2986625
kwaio usinililie mm.
waliochagua wako kibiashara zaidi na wanajua changamoto zinazokuja na electric trains. most of the countries zinazotumia electric trains, wanazitumia from city A to city B (intercities) ambayo huwa 200 - 400kms. sasa nyinyi na akili zenu mulizorithi toka kwa Kinjekitile Ngwale mumekurupuka.
btw Kenya Sgr is Chinese Class 1 standard.
dogo, amini usiamini, after 5yrs your Sgr will be worn out na hii ndio situation tunayoenda kushuhudia 👇
View attachment 2986631
Buddah are you sick!?🙆🏿♂️🙆🏿♂️🤣🤣🤣😆jamaa umepanic. tushaelewana na Kosugi kuwa kuwa hizi high speed/ electric trains mara nyingi zinatumika kutoka point A to point B (intercities) mainly for passengers (mass transportation). mara nyingi zinakuwa 200 to 400kms ambapo kama Nairobi na Mombasa ikiunganishwa inaweza make sense kwa ni majiji ya kueleweka.
tuchukulie mfano tu Dar to Dodoma... hebu niambie Dodoma kuna mpango gani.
ndio kwa maana nasema nyie mumekurupuka kujenga 10,000kms ya Big White Elephant.
View attachment 2987561View attachment 2987562
🙆🏿♂️🙆🏿♂️🤣🤣🤣🤣We makalio.
hawa jamaa tumewapiga bao sana 😂😂😂. wanaangalia sura wakati hata mbuzi anayo 🤣
View attachment 2988501
Pumba tupu eti 18 toneshawa jamaa tumewapiga bao sana 😂😂😂. wanaangalia sura wakati hata mbuzi anayo 🤣
View attachment 2988501
ndio ujue kwamba your sgr is inferior.Pumba tupu eti 18 tones
Eti dar - Moro
Ni mjinga gani ameandika huu upupu ????
Malaba - Kampala imejengwa ?? ela hakuna, mkandarasi hayupo site !!!
Nini kilimkataza Huyo mjinga kuandika Dar - Tabora - Mwanza - kigoma - msongati ?Kama anajumlisha na reli iliyo Kwenye mipango
Mpaka sasahivi Tanzania imejenga kilometa nyingi kuliko Kenya almost 1000+
Uganda hajajenga Hata mita 1 ya Sgr .
Nani .
Mwambie huyo ndugu yako asiandike Tena huu upuuzi kama hajui aulize .
ushuzi mtupu.Mpaka sasahivi Tanzania imejenga kilometa nyingi kuliko Kenya almost 1000+
ndio ujue kwamba your sgr is inferior.
18m tonnes per annum (maximum) wakati Kenya ana uwezo wa kupitisha 35m tonnes/ annum.
View attachment 2988825
Reli imeshapita Mwanza kitambo na sasa huko Mwanza ni majaribio ya kupitisha train yameshaanza kitamboushuzi mtupu.
toka lini dar to dodoma ikawa 1000+ km.
toka kwenye ndoto
Amka usingiziniushuzi mtupu.
toka lini dar to dodoma ikawa 1000+ km.
toka kwenye ndoto
Correction** Dar - Mukatupora = 550km 👇Amka usingizini
Dar - makutopora 750+ kms ( 100% completed)
Mwanza - isaka 320 + kms ( more than 51% completed )
Makutopora - Tabora
250 + kms ( more than 67% completed )
Ngoja upate elimu kidogo.ndio ujue kwamba your sgr is inferior.
18m tonnes per annum (maximum) wakati Kenya ana uwezo wa kupitisha 35m tonnes/ annum.
View attachment 2988825
Wewe nyang’au wa bongo hujielewi😎😎…wacha nikukumbushe tu tulipoftoka 👇….