Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Yap merkezi pia wako Ethiopia,
Ingia skyscraper city ujionezile vitu wanafanya huko,
Utashangaaaa iyo kitu yenu
Nimesha angalia miradi yote ya Yapi Merkezi Afrika sijui ni ipi ya Ethiopia unayoiongelea. Ile video ya Awash–Weldiya Railway ni model tuu siyo halisi.
Hii burret train inaenda kwa mwendokasi mgani...weka na ushahidi ikikimbia toka Dar slaamu Hadi Morogoro.
Sielewi unaongelea "burret train" gani ila kwa Tz bado mkandarasi wa Uturuki anaendelea na ujenzi.
 
Yapi Merkezi built a railway in Ethiopia

 
ohk nilidhani ishajengwa!
Mradi mkubwa kwao ni wa Tanzania ndiyo maana uko documented zaidi.

Wanaweka video kila mwezi kama Marketing strategy, kujitangaza, ili wapate kazi nyingi Afrika (hapo baadae). Jamaa wameshaona kuna fursa nyingi sana Afrika kitu ambacho kwa miaka mingi wakubwa wa Ulaya wamekuwa hawataki wengine wajue.
 
wherever corruption and tribalism exists wezi ni wengi sana protected by the tribalism. The police, executors, lawyers will start looking first at name of the thief before saying and deciding anything. Is this name of a Kikuyu, Kamba, or luo?
 
Hahaahhahahahahhahahah bro hawa watu watakufa na wivu aisee.
Yani hata August haijaisha akwambia hii November hahahhahaahhahahhhahha
Kwa akili zako za 19th century,
Unadhani by November Kila kitu itakuwa imekamilika,
Tuache kuwa mazuzu kupindukia
 
Kwa akili zako za 19th century,
Unadhani by November Kila kitu itakuwa imekamilika,
Tuache kuwa mazuzu kupindukia
Ww tatizo lako hasa ni nn??? Mbona munauchungu sana na SGR ya tanzania wapi munakwama???πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kwa akili zako za 19th century,
Unadhani by November Kila kitu itakuwa imekamilika,
Tuache kuwa mazuzu kupindukia
Earth work imekamilika bado kutoboa miamba na kumalizia stations na madaraja ,Kwahiyo wacha tarehe ifike ndio uanze blabbering.
Watu waliibeza china hvyo hvyo haiwez inuka na ikafanikiwa kuwa amongst industrialized nation with in 5 years.
We wacha date ifike ndio uongee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…