Huu upumbavu wenu lazima muache, onyesha "stream media" yoyote ya Tanzania ambayo imetangaza data za Kenya ambazo sio "official", wanezipata toka kwa upinzani.
Ninaamini ujumbe umeupata, take time to digest and swallow slowly. You need to change your attitude toward Tanzania.
Acha wanyooshwe! Mungu ataendelea kuwanyoosha ile mbaya Kunyaland hawa!Wakenya walikuwa wanatuombea mabaya sana, yaani wakati Magufuli zile directives kuhusu Corona ilikua utafikiri ni vita kati ya Magufuli na Kenya.
Kenya walikuwa so personal utafikiri wao sasa ndio Corona, walimdhalilisha sana Rais wetu mitandaoni mpaka ikawa ni national campaign kumdhalilisha Rais, walikuwa wakiweka pictures twitter za vitu vya ajabu pamoja na picture ya Magufuli na kufanya mzaha na dharau ya hali ya juu.
Walikuwa wakitamani sana kuona Tanzania tunakufa na waliomba hilo litokee, in short mpaka sasa sijui kwanini Wakenya wanaichukia Tanzania kiasi hiki na hilo nimeliona wazi kwenye hii vita ya Corona.
Kwahiyo na nyinyi mmeamuwa kutoa data za wanajeshi wenu kuumwa corona ilikuunga mkono USA na Israel!! Kama ndiyo hivyo basi vichwa vyenu ni zero!joto la jiwe natumai swali lako limepata jibu
You are like a kid with ass brain!Which attitude, like I care about Tz, you are a by the way kinda country.
Kama Serikali haijatangaza ninyi mnapaswa kukaa kimya, au kusema kwamba "Serikali ya Tanzania haijatangaza", hampaswi kuokoteza taarifa mitaani, pale Serikali iliposema sasa hivi kuna wagonjwa wanne, hamkuifanya ni habari muhimu badala yake mlipinga?.Weka dates., old news, which is a fact, CCM wont permit such news. eti kila siku., peleka ujinga mbali.
Ninyi ni wapumbavu sana, shughulikeni na ukabila, rushwa, njaa, police brutality, crime, political violence na slums, achaneni na kuipaka matope Tanzania. Kila uchaguzi ukipita lazima mtasema Tanzania haikuichagua Kenya, nani kasema kwamba Tanzania lazima ichague Kenya?, hovyo kabisa ninyi.Which attitude, like I care about Tz, you are a by the way kinda country.
Mataga akili mliziifadhi kwenye mzuti.Mja asili
Kunya land ningeshangaa ushindwe kuonyesha Asili yako
Ikisemwa KenyaMataga akili mliziifadhi kwenye mzuti.
Hapa tayari umeshapanic 🤣🤣🤣Ikisemwa Kenya
Inakuuma mpaka makalioni
Kiingereza noma 😂😂 na sindano ikikuingia kaite Mod akutetee.Efidence prease
Naona dawa imekuingia ..hehee hii issue ya Tanzania kuchagua Kenya inakuuma sana.Ninyi ni wapumbavu sana, shughulikeni na ukabila, rushwa, njaa, police brutality, crime, political violence na slums, achaneni na kuipaka matope Tanzania. Kila uchaguzi ukipita lazima mtasema Tanzania haikuichagua Kenya, nani kasema kwamba Tanzania lazima ichague Kenya?, hovyo kabisa ninyi.
yahani we jamaa unaonekana ni zero brain kabisa kwahiyo unavyodai Tz kua ni LDC na kenya mtakuaje labda, mahana huwezi kukosa adabu kiasi hicho kwa nchi inayokurisha na kukufanya uende chooni, halafu kwani hujui bongo land ndio kuna mabilionaire wa east africa, sasa nyie kuishi kwenye slum ndio maendeleo, umefeli sana next time kua na adabu unapoandika kitu kuhusu Tz, the real giant of east africaEti unaomba Al shabaab wapate taarifa., roho ya kishetani hii unayo joto la jiwe, inasikitisha,
Do you know Tanzania ndio inazaa Al shabaab na terrorism groups ukanda huu?., do you know wale wana finance Al shabab na other Islamic terror groups ni baadhi ya warabu wengi wenye pesa pale Dar? najua hili haulijui., the terror group terrorizing Mozambique wametokea Tanzania, wanafanya zoezi Tanzania na kukula kiapo kisha wanavuka mpaka ulio lindwa na "panga boys TPDF" bila kushikwa, na mnajidai mko na ujasusi wa hali ya juu ovyo kabisa!
Kuombea watu mabaya ni laana mbaya sana! Ndio maana ni ngumu sana Tanzania kuendelea licha ya rasilmali nyingi zile mnazo, wewe hauoni ni laana?., mtakuaje LDC with all you have?, the country with the biggest number of extreme poor people in EAC na SADC, in West Africa ni Nigeria peke yake iko juu yenu!., ni laana imewafunga., mnahitaji tambiko la msalaba wa golgotha ili mfunguliwe, la sivyo hakuna mahali mnaenda, CCM is a devilicconduit to condemn you to poverty. Ushirikina is your middle name
Hawa sio mabeberu ni vijakazi wa mabeberu. Yahani kazi yao ni kyatawaza mabeberu