Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
WanaJF Naomba ushauri
Nimepitia budget ya 2010/11 nimeona hakuna jipya ndo mana nikajiuliza hivi kwanini serikali haitumii Think Tank kama wataramu wetu wa vyuo??
Tatizo la Serikali yetu ukijifanya unajua sana wanakokorimba, wanakubaregu na kukuchachage. kwa mtindo huu TAnzania will Never nevr develop.
Budget 2010/11
Kodi imepungunzwa from 15%-14% anbayo TShs 1000 kwa mwezi kwe mwaka 12,000 HAPA HAKUNA KITU.
Mishahara imepanda kwa Tshs 1200 kwa mwezi kwa mwaka tshs 14400 MAISHA GANI HAYA KWA WATANZANIA??
Vyanzo Vya Mapato=0
Siku zote unaweza kufikiri serikalini wamekaa viraza na mabwege yaani kila siku sehemu ya kupata mapato ni sigara sida bia
Nashauri mapaparazi wa Serikali watembelee JF mara nyingi wapate ufumbuzi wa matatizo yao
Ndo hilo tu wana JF
Nimepitia budget ya 2010/11 nimeona hakuna jipya ndo mana nikajiuliza hivi kwanini serikali haitumii Think Tank kama wataramu wetu wa vyuo??
Tatizo la Serikali yetu ukijifanya unajua sana wanakokorimba, wanakubaregu na kukuchachage. kwa mtindo huu TAnzania will Never nevr develop.
Budget 2010/11
Kodi imepungunzwa from 15%-14% anbayo TShs 1000 kwa mwezi kwe mwaka 12,000 HAPA HAKUNA KITU.
Mishahara imepanda kwa Tshs 1200 kwa mwezi kwa mwaka tshs 14400 MAISHA GANI HAYA KWA WATANZANIA??
Vyanzo Vya Mapato=0
Siku zote unaweza kufikiri serikalini wamekaa viraza na mabwege yaani kila siku sehemu ya kupata mapato ni sigara sida bia
Nashauri mapaparazi wa Serikali watembelee JF mara nyingi wapate ufumbuzi wa matatizo yao
Ndo hilo tu wana JF