Pianist
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 679
- 370
Hapo kwenye red Barcelona/Spain hazichezi attacking football rather keep ball footballHaitakuwa hivyo! Kwani Argentina inacheza attacking football? Kwangu mimi nadhani hapana. Huwezi ukacheza na defencing midfielders 3 halafu ukataka kupata magoli, Argentina imefail hata kabla ya copa america haijaanza sababu ya kutorekebisha makosa ya WC, so warudi kujipanga upya, wakianzia pale walipoishia WC 06 Germany.