Continental decoder hii imizidi sasa

Continental decoder hii imizidi sasa

Mwananjengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
317
Reaction score
101
Ukweli continental decoder hivi kwa nn mnatukatia Chanel Mara nyingi hadi kero sasa,mnakata hata mda wa taarfa ya habari mnaondoa Chanel za kitanzania. Hivi kwa nini hamjaili wateja,OK hata kama ni marekebsho kwa nn yasifanyike mda mwngine mnasubri saa mbili. Najuta kununua continental.
 
loweka kwenye maji kisha anika.chanel zote zina rudi.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Kitu DSTV PREMIUM...Local & International games zote na watch live...!
 
Ukweli continental decoder hivi kwa nn mnatukatia Chanel Mara nyingi hadi kero sasa,mnakata hata mda wa taarfa ya habari mnaondoa Chanel za kitanzania. Hivi kwa nini hamjaili wateja,OK hata kama ni marekebsho kwa nn yasifanyike mda mwngine mnasubri saa mbili. Najuta kununua continental.

Kisimbuzi pekee ni DSTV TU.
 
Hawa jamaa hata kwenye Visimbuzi vya wengine nako wanaperform poor.
Hovyo kabisa hawa Sahara Medea.
 
mimi ninaking'amuzi cha cont' sijawahi kuona kianakatika angalia antena yako kinaitaji antena yenyenguvu sana asa ya nnje
 
Kitu DSTV PREMIUM...Local & International games zote na watch live...!

kwani mkuu, unadhani kuna mtu ambaye hajui hilo?!! ila mambo mengine ni kujifanya tu kama huoni kwani hata ukiona uwezo nacho huna. nani anapenda haya kila siku matatizo mala picha ipo sauti hamna,
 
kwani mkuu, unadhani kuna mtu ambaye hajui hilo?!! ila mambo mengine ni kujifanya tu kama huoni kwani hata ukiona uwezo nacho huna. nani anapenda haya kila siku matatizo mala picha ipo sauti hamna,

Poleni wana continental
 
Back
Top Bottom