Mwananjengo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 317
- 101
Ukweli continental decoder hivi kwa nn mnatukatia Chanel Mara nyingi hadi kero sasa,mnakata hata mda wa taarfa ya habari mnaondoa Chanel za kitanzania. Hivi kwa nini hamjaili wateja,OK hata kama ni marekebsho kwa nn yasifanyike mda mwngine mnasubri saa mbili. Najuta kununua continental.